Kwako Waziri was ardhi mheshimiwa Lukuvi.
Kumekuwa na ucheleweshwaji wa hati za umiliki wa ardhi kwa namna ya kimakusudi! Mtu unanunua ardhi , unalipia urasimishaji, mipaka inahakikiwa! Ukitaka hati sasa shughuli inaanzia hapo.
Umeshalipa urasimishaji lakini unaambiwa subiria hati zitatoka ila sio leo! Ukiulizauliza watumishi hao hao wanakwambia tupe milioni kadhaa tulishughulikie ndani ya wiki mbili
Ukikataa wanakwambia hati utaipata baada ya miaka minne. Najiuliza hivi Kama unataka ukope kupitia ardhi yako ili ujenge au ufanye biashara zako inakuwaje?
Tunaomba mfumo wa kupata hati ufanyike online uwe kama Brela ukishalipia ada zako unatumiwa hati online una print na risiti unapewa.
Kumekuwa na ucheleweshwaji wa hati za umiliki wa ardhi kwa namna ya kimakusudi! Mtu unanunua ardhi , unalipia urasimishaji, mipaka inahakikiwa! Ukitaka hati sasa shughuli inaanzia hapo.
Umeshalipa urasimishaji lakini unaambiwa subiria hati zitatoka ila sio leo! Ukiulizauliza watumishi hao hao wanakwambia tupe milioni kadhaa tulishughulikie ndani ya wiki mbili
Ukikataa wanakwambia hati utaipata baada ya miaka minne. Najiuliza hivi Kama unataka ukope kupitia ardhi yako ili ujenge au ufanye biashara zako inakuwaje?
Tunaomba mfumo wa kupata hati ufanyike online uwe kama Brela ukishalipia ada zako unatumiwa hati online una print na risiti unapewa.