Tunaomba platform ambapo tunaweza kukutonya nini kinaendelela nyumbani kwako idara ya ardhi.
Kuna madudu yanafanyika yanahitaji uyaingilie Kati. Kumeoza, needs your intervention.
Hii wizara rushwa haitakaa iishe itoshe kusema tu lukuvi imemshinda hii Wizara kama ilivyo kwa jeshi la polisi, inatakiwa ivunjwe na kuundwa upya