GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
UmeonaKutuhumu bila ya ushahidi ndiyo kukoje huko? Basi na yeye akubali hivyo vyombo vya sheria na dola kufuata sheria zilizowekwa. Kwa mfano ni lazima Polisi wote wafuate kanuni za ukamataji, upekuaji, uwekaji watu Rumande, kanuni za kuhoji, kulinda mikutano ya hadhara na hata ufunguaji wa Kesi mahakamani.
Mtuhumiwa kufa mikononi mwa police kwa kipigo, hivi sheria gani inayo wapa police kupiga kipigo cha mbwa koko..?