Waziri Lawrence Masha hana uwezo

Waziri Lawrence Masha hana uwezo

Huyu Magufuli ni kanyaboya. Kama kawaida anatafuta sifa. Wenzake wamemuingiza mkenge. Wamemuacha afanye mambo hayo ya kunyanganya watu viwanja ili wananchi wamchukie na atoke katika mioyo ya watu. Watanzania wangapi wenye uwezo wa kujenga nyumba in 3 years kama sio hao mawaziri na vigogo wengine serikalini? Acha awakera watu ili atakaponyang'anywa uwaziri watu wasilalamike!
HV hii ukiscreenshot na kuitupa kwe wall ya msemaji wa serikali na mkumbo si itapendeza zaidi ah ah
 
Huyu Magufuli ni kanyaboya. Kama kawaida anatafuta sifa. Wenzake wamemuingiza mkenge. Wamemuacha afanye mambo hayo ya kunyanganya watu viwanja ili wananchi wamchukie na atoke katika mioyo ya watu. Watanzania wangapi wenye uwezo wa kujenga nyumba in 3 years kama sio hao mawaziri na vigogo wengine serikalini? Acha awakera watu ili atakaponyang'anywa uwaziri watu wasilalamike!
Hii inabidi Rais Magufuli aione...
 
Magufuli ndiye waandishi wabongo wanapaswa kumwita kiboko! Perfomance yake inaonekana na ilijidhihirisha akiwa ujenzi,waziri aliyekuwa na data zote za barabara,fedha za kuzijenga,etc. ilifikia tz tukawa model kwa nchi nyingine kuja kuiga mafanikio ya design and build.Tatizo kulikuwa na uvunjaji wa sheria sana watu tuka normalize disorders hivyo magufuli kuleta order ilibidi ije bomoa bomoa,magari ya serikali yaheshimiwe,uzito wa magari usiharibu barabara,etc.Yote haya yaligusa masilahi ya vigogo na ndo hizo propaganda za kumchafua!Nyumba aliuza kwa kuwa ilikuwa sera ya cabinet yote including jk na pia shinikizo la wb. yeye akawa mtekelezaji,lakini pia aliweza kujenga nyuma zingine huko dom na dar,which makes sense.
Rationale ya kunyang'anya watu viwanja ndo tunapaswa kuijua na ni vizuri mwanakijiji amtafute tujue.Kama sikosei nia yake ni kupunguza rushwa maana maafisa ardhi wamehodhi viwanja kibao pasipo nia ya kujenga but just to raise the demand na kuviuza baadae kwa bei kubwa tena mara mbili mbili.
Huyo el ana perfomance background yoyote ya kujivunia kuliko magufuli? Mbona el dikteta mzuri sana kwa control media na wabunge,leave alone kuwa ni corrupt? Magufuli would fit as a pm kuleta discipline na high perfomance maana wabongo tuko wazembe na watu wa maneno mengi pasipo vitendo,bla blah....
Hebu tuone vision ya magufuli kuunganisha tz kwa lami 2007 na daraja la kigamboni kama itakuwa reality!
Long live Pombe wa Magufuli!
Maono
 
Huyu Magufuli ni kanyaboya. Kama kawaida anatafuta sifa. Wenzake wamemuingiza mkenge. Wamemuacha afanye mambo hayo ya kunyanganya watu viwanja ili wananchi wamchukie na atoke katika mioyo ya watu. Watanzania wangapi wenye uwezo wa kujenga nyumba in 3 years kama sio hao mawaziri na vigogo wengine serikalini? Acha awakera watu ili atakaponyang'anywa uwaziri watu wasilalamike!
Hahaha..
 
Huyu Magufuli ni kanyaboya. Kama kawaida anatafuta sifa. Wenzake wamemuingiza mkenge. Wamemuacha afanye mambo hayo ya kunyanganya watu viwanja ili wananchi wamchukie na atoke katika mioyo ya watu. Watanzania wangapi wenye uwezo wa kujenga nyumba in 3 years kama sio hao mawaziri na vigogo wengine serikalini? Acha awakera watu ili atakaponyang'anywa uwaziri watu wasilalamike!
Jamani hii ni fake account au?
 
Huyu Magufuli ni kanyaboya. Kama kawaida anatafuta sifa. Wenzake wamemuingiza mkenge. Wamemuacha afanye mambo hayo ya kunyanganya watu viwanja ili wananchi wamchukie na atoke katika mioyo ya watu. Watanzania wangapi wenye uwezo wa kujenga nyumba in 3 years kama sio hao mawaziri na vigogo wengine serikalini? Acha awakera watu ili atakaponyang'anywa uwaziri watu wasilalamike!
Watu wabaya sana
 
Muganyizi,
sijapoteza kiwanja.......lakini huyu Magufuli ni mpumbafu, na sifa yake kubwa ni uropokaji,bomoa-bomoa, na huo unyang'anyi anaofanya sasa hivi.

Magufuli anapaswa kutatua migogoro ya umiliki wa viwanja, siyo kunyang'anya viwanja ambavyo vimepatikana kihalali, ila watu wanasuasua kuviendeleza.

Sasa Magufuli anamuumbua Msaidizi wake bungeni ni kwa faida ya nani? Kwanini anajaribu kujengea jina baya Msaidizi wake?

Kama mtu anayeelewa misingi ya mahusiano na maelewano katika sehemu za kazi, naamini kwamba Magufuli amepotoka na kuvuka mpaka.
Aisee sasa hivi mnakula nae kwenye meza ya bwana.
 
Huyu Magufuli ni kanyaboya. Kama kawaida anatafuta sifa. Wenzake wamemuingiza mkenge. Wamemuacha afanye mambo hayo ya kunyanganya watu viwanja ili wananchi wamchukie na atoke katika mioyo ya watu. Watanzania wangapi wenye uwezo wa kujenga nyumba in 3 years kama sio hao mawaziri na vigogo wengine serikalini? Acha awakera watu ili atakaponyang'anywa uwaziri watu wasilalamike!
Vipi mpaka sasa jamaa ni kanyaboya ?
 
Jamani hii ni fake account au?
Ndio kisingizio kilicho bakia kusema ni fake ID ama amedukuliwa. Ingwa kiuhalisia humu ndani tunao akina Kigwangala, Kitilya, Anna Mgwira, Lawrence Masha, Zitto, January Makamba, Mwigulu Nchemba.... Nawengine weengi ambao miakaile walishusha nondo zilizo nyooka, hata vijana wenzao tukawaamini sana.
 
Back
Top Bottom