Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,055
- 110,674
Hapana, bilashaka ni malaika mkuu...😂😂😂Vipi mpaka sasa jamaa ni kanyaboya ?
Hapana, bilashaka ni malaika mkuu...😂😂😂Vipi mpaka sasa jamaa ni kanyaboya ?
Sio tu kanyaboya lakini pia anatafuta sifa kama kawaida.Nadhani katika makaburi yote yalowahi kufukuliwa, hili ndo kali kuliko yote!
Kitila asije tu kujikana mwenyewe hapa na kudai alidukuliwa....
Eti jiwe ni kanyaboya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ogopa sana technologia na Mungu[emoji16]Huyu Magufuli ni kanyaboya. Kama kawaida anatafuta sifa. Wenzake wamemuingiza mkenge. Wamemuacha afanye mambo hayo ya kunyanganya watu viwanja ili wananchi wamchukie na atoke katika mioyo ya watu. Watanzania wangapi wenye uwezo wa kujenga nyumba in 3 years kama sio hao mawaziri na vigogo wengine serikalini? Acha awakera watu ili atakaponyang'anywa uwaziri watu wasilalamike!
Hahahaha siasa na teknolojia ni vitu vitamu sanaHuyu Magufuli ni kanyaboya. Kama kawaida anatafuta sifa. Wenzake wamemuingiza mkenge. Wamemuacha afanye mambo hayo ya kunyanganya watu viwanja ili wananchi wamchukie na atoke katika mioyo ya watu. Watanzania wangapi wenye uwezo wa kujenga nyumba in 3 years kama sio hao mawaziri na vigogo wengine serikalini? Acha awakera watu ili atakaponyang'anywa uwaziri watu wasilalamike!
Uwaziri ndio bye byeHuyu Magufuli ni kanyaboya. Kama kawaida anatafuta sifa. Wenzake wamemuingiza mkenge. Wamemuacha afanye mambo hayo ya kunyanganya watu viwanja ili wananchi wamchukie na atoke katika mioyo ya watu. Watanzania wangapi wenye uwezo wa kujenga nyumba in 3 years kama sio hao mawaziri na vigogo wengine serikalini? Acha awakera watu ili atakaponyang'anywa uwaziri watu wasilalamike!
[emoji23][emoji23][emoji23]ni vizuri kuweka akiba ya manenoHuyu Magufuli ni kanyaboya. Kama kawaida anatafuta sifa. Wenzake wamemuingiza mkenge. Wamemuacha afanye mambo hayo ya kunyanganya watu viwanja ili wananchi wamchukie na atoke katika mioyo ya watu. Watanzania wangapi wenye uwezo wa kujenga nyumba in 3 years kama sio hao mawaziri na vigogo wengine serikalini? Acha awakera watu ili atakaponyang'anywa uwaziri watu wasilalamike!