Waziri Kitila: Hadi Julai 2021, Tanzania ilikuwa na Viwanda 80,969

Waziri wa Viwanda na Biashara, Prof. Kitila Mkumbo amesema kwa mujibu wa mujibu wa sensa ya viwanda ya Julai 2021 (NBS/WVB), idadi ya viwanda ni 80,969

Amebainisha kuwa kati ya viwanda hivyo, Viwanda vikubwa ni 628, Viwanda vya kati ni 684, Viwanda vidogo ni 17,267 na Viwanda vidogo sana ni 62,400

Ameeleza kuwa kisera, tafsiri ya ukubwa wa kiwanda ni kuwa Kiwanda kikubwa kina ajira zaidi ya 100 na uwekezaji wa zaidi ya Milioni 800

Kiwanda cha kati kina ajira 50-99 na uwekezaji wa Milioni 200 hadi Milioni 800. Kiwanda Kidogo kina ajira 5-49 na uwekezaji wa Milioni 5 hadi Milioni 200. Kiwanda kidogo sana kina ajira 1-4 na uwekezaji wa chini ya Milioni 5
Aache upuuzi....wake tena asitufanye sisi wapuuzi awache upuuzim..
 
Waziri wa Viwanda na Biashara, Prof. Kitila Mkumbo amesema kwa mujibu wa mujibu wa sensa ya viwanda ya Julai 2021 (NBS/WVB), idadi ya viwanda ni 80,969

Amebainisha kuwa kati ya viwanda hivyo, Viwanda vikubwa ni 628, Viwanda vya kati ni 684, Viwanda vidogo ni 17,267 na Viwanda vidogo sana ni 62,400

Ameeleza kuwa kisera, tafsiri ya ukubwa wa kiwanda ni kuwa Kiwanda kikubwa kina ajira zaidi ya 100 na uwekezaji wa zaidi ya Milioni 800

Kiwanda cha kati kina ajira 50-99 na uwekezaji wa Milioni 200 hadi Milioni 800. Kiwanda Kidogo kina ajira 5-49 na uwekezaji wa Milioni 5 hadi Milioni 200. Kiwanda kidogo sana kina ajira 1-4 na uwekezaji wa chini ya Milioni 5
Hivi vidogo sana, bila shaka ni vile vya cherahani 3, blender 3, na kuchomelea vyuma.
 
Kiwanda kidogo sana kina ajira 1-4 na uwekezaji wa chini ya Milioni 5
Ajira kuanzia mtu mmoja na uwekezaji chini ya 5M (technically hata elfu 50,000/=)

Kwa vipimo hivi nashangaa kwanini hio namba isingekuwa kubwa maradufu (yaani mamilioni ya viwanda)

Ifike wakati tuanze kuangalia quality sio quantity pekee, na uzalishaji sio wingi wa underperforming entities...
 
Mwaka 2020 tulikuwa na viwanda 61,110. Mwaka 2021 tuna viwanda 8,969😁😁😁

egAW-1.jpg
 
Waziri Mkumbo (PHD) ametanga kwamba Tanzania ina jumla ya viwanda 80,696 as of June 2021..

Idadi hii itaishangaz dunia kwa sababu Ujerumani ina viwanda 47,000 tuu hadi sasa.

Je tuseme uchumi wa Tanzania umesha kuwa wa viwanda?

Nadhani watanzania tunapenda kujisifia kwa mambo ya kijinga tena tukiongozwa na mtu mwemye PHD.

Furaha yake ni nini kuhesabu viwanda ambavyo havichangii kwenye uchumi.

Kiwanda ni nin hasa..

Inatia aibu kwa taifa kama hili mtu kusimama na kusema kuna viwanda 80,696 ..bila kutaja mchango wa viwanda hivyo..

Hizi taarifa zunamsaidia nani?

20211018_202931.jpeg
 
Anajua watanzania ni wajinga wao wapo busy kubishana Simba vs Yanga hawaulizi juu ya hivi viwanda vya magagulo!
 
Ukumbuke anasema hivo kupumbaza wananchi huku yeye anamiliki mabasi ya Otta na malori yaliyoandikwa Otaligamba yote yake yeye anarun biashara ya mabilioni anaona mazuzu wamiliki cherehani sita ndio kiwanda tayari
 
Waziri Mkumbo (PHD) ametanga kwamba Tanzania ina jumla ya viwanda 80,696 as of June 2021..

Idadi hii itaishangaz dunia kwa sababu Ujerumani ina viwanda 47,000 tuu hadi sasa.

Je tuseme uchumi wa Tanzania umesha kuwa wa viwanda?

Nadhani watanzania tunapenda kujisifia kwa mambo ya kijinga tena tukiongozwa na mtu mwemye PHD.

Furaha yake ni nini kuhesabu viwanda ambavyo havichangii kwenye uchumi.

Kiwanda ni nin hasa..

Inatia aibu kwa taifa kama hili mtu kusimama na kusema kuna viwanda 80,696 ..bila kutaja mchango wa viwanda hivyo..

Hizi taarifa zunamsaidia nani?

View attachment 1979004
Mashine za kusaga ulezi ccm kwao ni kiwanda.
 
Back
Top Bottom