Kwa ujumla hafai kuwa Waziri au Naibu waziri kwa kuwa hajui nini anachotakiwa kufanya. Mi nafikri akili zake zinamtosha kuvuka barabara tu.
Hakujawahi kuwa na wizara ambayo ni size yake...Ameprove failure toka mwanzo....Hii wizara sio saizi yake.
hawa jamaa hawako serious na hii issue mkuu! Wito kwa walimu wasirudi nyuma mpaka kieleweke..
anasema mishahara haichelewi..mwalimu kapiga simu kauliza mbona yeye hadi asubuhi hii ajaingiziwa mshahara?
Waziri kaanza kuongelea ishu zingine kashindwa kujibu.
Kamaliza bila ata ya kujibu hoja yoyote iliyo kwenye madai ya msingi ya Waalimu...Walimu bila kupambana imekula kwenu,maana kwa maelezo ya waziri ni kama hakuna chochote serikali inafanya kuwasaidia kilio chenu.
kheee kumbe pinda muongo hivi..hivi huyu baba alipata hata kipaimara kweli..maana muongo muongo sana sijui kwa nini
anasemaje mkuu.wengine hatuna access na hiyo media kaka...
Ni Mtoto wa Shangazi yake na Kikwete.Kikwete kajaza washkaji zake, sasa wanamvuruga! Huyu kawambwa alisoma germany kama sijakosea, mkewe ni mdogo wake sinare, yule dr. Wa mifugo pale namanga! Wakati wanakaa ud, jk akiwa wizarani, walikuwa wanatembeleana, so ushkaji ulianza kitaaambooooo! Ushkaji ndio umefikisha hii serikali hapa!
Kikwete kajaza washkaji zake, sasa wanamvuruga! Huyu kawambwa alisoma germany kama sijakosea, mkewe ni mdogo wake sinare, yule dr. Wa mifugo pale namanga! Wakati wanakaa ud, jk akiwa wizarani, walikuwa wanatembeleana, so ushkaji ulianza kitaaambooooo! Ushkaji ndio umefikisha hii serikali hapa!
Kaisifia sana radio inayomhoji, vingine sikuvielewa kabisa pamoja na kujitahidi kusikiliza.