Kwa propaganda kama hizi, walianza kupandikiza hasira na chuki kwa madaktari, sasa wamekuja kwa walimu na wanafunzi, wanaendelea tena kwa wafanyakazi wote kupitia mifuko ya hifadhi ya kijamii (SSRA). Watakapowafikia wakulima basi ujue nchi haita tawalika tena.
Unataka WAKULIMA wawafikie mara ngapi?
Soma habari bodi ya Korosho jinsi akina Anna Abdallah, Mudhihir Mudhihir na Mkewe, Jerome Bwanausi wanavyokula bila kunawa!
Soma madudu yaliyopo Bodi ya Pamba uone UFISADI wa kutisha? Msimu huu Pamba inaunzwa kwa Tsh 600/- @Kg Wakulima wamegoma kuuza pamba yao. Je, unataka WAKULIMA wanyonywe vipi ndiyo utambue?