Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
“Tupo katika masuala ya uokoaji na msiba ninyi mnaleta masuala ya kisiasa, hilo siyo swali, nashangaa watu wapo katika majonzi ninyi hamuonyeshi majonzi, mkieendelea kuuliza nitawaweka mahabusu” Waziri Mh. Izack Kamwelwe akijibu kuhusu wanaotaka ajiuzulu.