johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,923
- 141,889
Waziri wa Madini Angella Kairuki amemtaka CAG achunguze upotevu wa kiasi cha sh. billion 30 zilizopotea katika sekta ya madini na gesi asilia kwa mwaka 2015/16. Kairuki amesema kiasi hicho kinaweza kuonekana ni kidogo lakini serikali haiwezi kuvumilia ufisadi wa aina yoyote ile. Source Eatv habari!