Wadau kinachonishangaza waziri anajitetea na kulalamika kwa mwandishi wa habari semunyu kwny kipindi maalum cha dk45,badala ya kushindwa kuwawajibisha watendaji wa wizara na TANAPA kwenye ufisadi wa magogo,wanyama hai,Faru wa jk na umiliki vitalu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.