Tanzania daima ,wale hawakuwa wafanyakazi! Au kwa kuwa ni mshiriki wa kampeni?Waziri wa Sanaa, vijana, utamaduni na michezo Bashungwa amesema wanaangalia namna ya kushughulikia swala la Wasafi tv kufungiwa miezi sita kufuatia kituo hicho cha habari kujutia na kuomba radhiView attachment 1675071
Kichwani mwako zimetimia?Uchaguzi umeisha acha kinyongo kisa boss wao ulikuwa unamuona akitumbuiza kwenye majukwa ya CCM.
Sio kila kitu siasa, kosa limetendeka ila adhabu yenyewe sio proportionate.
Halafu kumbe ata huyo Gigy mwenyewe hakuwa mtupu kama awali tulivyoaminishwa ni nguo tu aliyovaa ilikuwa na michoro tata ndio shida yenyewe.
Ukiangalia kwa lakini media nyingine hizo ziliwahi kufungiwa kwa muktadha wa kisasa na si wa kimaadili.. Kimaadili is revesable but wa kisiasa ni other issue hasa kwa African countriesKwahiyo walivyofungiwa Kwanza TV, Mwananchi, Tanzania Daima, Mwanahalisi, Clouds TV na wengine Wao pia hawakustahili Misamaha yenu hii?
Hawakuomba msamahaKwahiyo walivyofungiwa Kwanza TV, Mwananchi, Tanzania Daima, Mwanahalisi, Clouds TV na wengine Wao pia hawakustahili Misamaha yenu hii?