figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Waziri wa afya Dr. Hussen, amewataka waganga wa kienyeji wapeleke dawa zao NIMR ili zichunguzwe kama hazina madhara.
"Hizi dawa za kienyeji zimekuwa zikisaidia sana watanzania, sasa imefikia wakati wa dawa hizi kupelekwa nimr ili zifanyiwe uhakiki kama hazina madhara, wapo ambao wameshaanza kupeleka dawa NIMR"
MY VIEW:
Kipindi cha nyuma kuna waziri alipiga marufuku waganga wa kienyeji na kuagiza wafutiwe leseni. Imekuaje sasa? serikali imeshindwa kununua dawa za kuwahudumia watanzania? Ikoje hii?
mia
"Hizi dawa za kienyeji zimekuwa zikisaidia sana watanzania, sasa imefikia wakati wa dawa hizi kupelekwa nimr ili zifanyiwe uhakiki kama hazina madhara, wapo ambao wameshaanza kupeleka dawa NIMR"
MY VIEW:
Kipindi cha nyuma kuna waziri alipiga marufuku waganga wa kienyeji na kuagiza wafutiwe leseni. Imekuaje sasa? serikali imeshindwa kununua dawa za kuwahudumia watanzania? Ikoje hii?
mia