Bwahahahahahahaha
pesa je?Duuuh!! ningekua mimi niliposikia amesema mawaziri ni wapumbavu ningejiuzulu!!
Kwani unadhani ningekua sina miradi mingine? mshahara miaka miwili ningekua nimepeleka wapi?pesa je?
Kwa hiyo wafanye wanavyotaka,wasikemewe,eeh,upuuzi basi.Halafu hebu ona Huyu Mwaijage,eti asikumbushwe majukumu yake,dah,yeye ni nani hata asikumbushwe majukumu yake?Huyu Nshomile ni shida, Rais aachane naye,atamkwamisha.Ndio maana Mwalimu alikuwa hawataki,wengi wao wanajisikia sana.Waziri wa viwanda biashara na uwekezaji ndugu Charles Mwijage amemuomba rais Magufuli msamaha kwa kumkwaza katika kazi na kuahidi kufanyia kazi maelekezo yake.
Aidha katika hatua nyingine waziri Mwijage amemuomba rais Magufuli kutomkumbusha tena majukumu yake kwakuwa kwa kufanya hivyo atakuwa anamuumiza kisaikolojia.
Mapema leo Rais Magufuli ametamka waziwazi kuwa ndugu Charles Mwijage ni miongoni mwa mawaziri wanaomkwaza kiutendaji na kuenda mbali zaidi kwa kuwaita baadhi ya mawaziri wake kuwa ni wapumbavu.
[HASHTAG]#PambaneniNaHaliYenu[/HASHTAG]
Si muondoke humo mumuachie? Yanini kung'ang'ania na masimango yote hayo?
Accountability and responsibilitymwijage kafanya uungwana kama muungwana yoyote.
jambo la msingi kabisa ni kuhakikisha wananchi wanapata matokeo chanya ya kiamaendeleo.
Waziri wa viwanda biashara na uwekezaji ndugu Charles Mwijage amemuomba rais Magufuli msamaha kwa kumkwaza katika kazi na kuahidi kufanyia kazi maelekezo yake.
Aidha katika hatua nyingine waziri Mwijage amemuomba rais Magufuli kutomkumbusha tena majukumu yake kwakuwa kwa kufanya hivyo atakuwa anamuumiza kisaikolojia.
Mapema leo Rais Magufuli ametamka waziwazi kuwa ndugu Charles Mwijage ni miongoni mwa mawaziri wanaomkwaza kiutendaji na kuenda mbali zaidi kwa kuwaita baadhi ya mawaziri wake kuwa ni wapumbavu.
[HASHTAG]#PambaneniNaHaliYenu[/HASHTAG]
Si muondoke humo mumuachie? Yanini kung'ang'ania na masimango yote hayo?
ANZA NAYYMawaziri wapumbavu walichaguliwa na nani?? Akiwa Kigoma alijitamba kuwa anachagua wenye akili tu ndio maana wapinzani (CCM B) ataendelea kuwachomoa mmoja mmoja na kuwagaia vyeo ila sio wa CHADEMA!!!
"Mimi msema kweli mpenzi wa Mungu"" Tutajie hao wapumbavu!!!!
Hakuna haja ya barua mkuu, ilikuwa LIVE tbc pale Tanga wakati anaweka jiwe la msingi kiwanda cha maziwa cha Tangafresh.
Kumbe ndo maana mnampinga mkulu kwa kila kitu kisa mmegeuza viwanda vingi kuwa magofu.Kuna watu kulizwa kwa haya magofu ya viwanda...wa upinzani wengi
Halafu ukale wapi? Unadhani kukimbia tatizo ndo kulitatua?Duuuh!! ningekua mimi niliposikia amesema mawaziri ni wapumbavu ningejiuzulu!!
lakini raisi hajaonyesha ungwana wowote kuita wenzie wapumbavumwijage kafanya uungwana kama muungwana yoyote.
jambo la msingi kabisa ni kuhakikisha wananchi wanapata matokeo chanya ya kiamaendeleo.