Kwa kujikomba huku na kujiliza haishangazi akiitwa mpumbavu!
We lijamaa liongo sana mpaka magufuli aseme ndio unadandia hoja kwa mbeleMwijage sio material. Rais Magufuli mtazame kwa jicho la tatu
Mbowe mwenyewe ANAWABURUZA WABUNGE NA WANACHAMA WAKE, ANAWAKATA PESA na hakuna aliye tayari hata KUMKOSOA, Sembuse RAIS wa nchi
- Wabunge na wanachama wa chadema wako tayari hata kwenda kuosha vyombo kwa JOYCE MUKYA kuliko kujiuzulu AU KUMKOSOA MBOWE
Duuuh!! ningekua mimi niliposikia amesema mawaziri ni wapumbavu ningejiuzulu!!
Njaaa mbaya sanaDuuuh!! ningekua mimi niliposikia amesema mawaziri ni wapumbavu ningejiuzulu!!
Umenikumbusha mbali mkuu, yule PhD holder wa Moro kulalama kwanini ameachwa kwenye teuzi, ilikuwa aibu aisee. Huyu nae alishasema hataki kibarua chake kiote nyasi kwani familia inamtegemeaHuu utakuwa woga wa maisha isitoshe waziri ajui ata abc za entrepreneurship anawaza atalia kama gavana wa moro wa kipindi kile . So sad
tayari umeshaanza kuwashwaHayo uliyoyaandika ameyasema lini na wapi!?
tayari umeshaanza kuwashwa
Umetukanwa mara ngapi mbona huja achia?Duuuh!! ningekua mimi niliposikia amesema mawaziri ni wapumbavu ningejiuzulu!!
Amesaliti taaluma yake ya sayansi. Time shall tell us......yeye magu anafanya kazi gani zaidi ya kuzunguka kuhadaha wananchi !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aondoe woteKumbe ni genge la "wapumbavu", tutarajie nini toka kwa "wapumbavu" wapumbavu hawatalisaidia taifa
Sent using Jamii Forums mobile app