Umemua kujichekesha na kujifariji wakati ukweli wa hivyo vichwa unajua acha utani wewemabomu kabiSa ni slaa,mbowe,tobo lisu,lema,pita msigwa,shibuda na selasini joseph
Umemua kujichekesha na kujifariji wakati ukweli wa hivyo vichwa unajua acha utani wewemabomu kabiSa ni slaa,mbowe,tobo lisu,lema,pita msigwa,shibuda na selasini joseph
Ungejua ya huko ndani ya hiyo wizara anayoiongoza huenda usingemtaja kama kiongozi bora. Ila kwa wanaochemsha zaidi nadhani Kombani anaongoza akifuatiwa na MkuloToa maoni yako. To me Anna Tibaijuka is the best, Kawambwa poor
Anna Tibaijuka is one among the worst moja ya wizara inasababisha mpaka watu wanauana kila siku ni ardhi , watu wanadhurumiwa maeneo ya yeye anakula kiyoyozzi tu ofisin na kusoma magazeti, hata alipokuwa UNHabitat aliwahi kudemoted watanzania wakapiga kelele kuwa ni hujuma za wazungu na wakenya kumbe uwezo wake ulikuwa umeshuka kiutendaji kama anavyoonekana kwenye wizara akiwa kama waziri dhaifuToa maoni yako. To me Anna Tibaijuka is the best, Kawambwa poor
Ghasia,ni ghasia kweli!
Pombe magufuli,kama majina yake yalivyo.
Pinda,kapinda kweli.
Shukuru,tunashuru tu.hatujui kawaje waziri..., Ngeleja ni kama gereza.?
...,etc
Umemua kujichekesha na kujifariji wakati ukweli wa hivyo vichwa unajua acha utani wewe
Umemua kujichekesha na kujifariji wakati ukweli wa hivyo vichwa unajua acha utani wewe
Anna Tibaijuka is one among the worst moja ya wizara inasababisha mpaka watu wanauana kila siku ni ardhi , watu wanadhurumiwa maeneo ya yeye anakula kiyoyozzi tu ofisin na kusoma magazeti, hata alipokuwa UNHabitat aliwahi kudemoted watanzania wakapiga kelele kuwa ni hujuma za wazungu na wakenya kumbe uwezo wake ulikuwa umeshuka kiutendaji kama anavyoonekana kwenye wizara akiwa kama waziri dhaifu
Waziri bora kuliko wote Sitta anayefuatia kwa ubora ni Wazir wa mambo ya nje Bernad Membe na wanaoburuza mkia ni Maghembe na Aggrey Mwanri.
mabomu kabiSa ni slaa,mbowe,tobo lisu,lema,pita msigwa,shibuda na selasini joseph