Waziri bora na bomu kwa mwaka 2011 katika serikali ya JK

Hapa hakuna kitu!! Kama Kikwete ameprove kuwa ni mtu asiyejua nini anakifanya, waziri mkuu wake hali kadhalika, unategemea kuna waziri anaweza kuwa bora? Bora kwa lipi? Serikali ya ovyo ovyo, ya raisi na mawaziri ovyoovyo!!

Ni ajabu lakini ni kweli! Mtu mwenye NAZI juu ya kiwiliwili chake badala ya KICHWA anaongoza nchi! Kweli wanasayansi wa Tz ni wakali!
 
Kawambwa na naibu wake mulugo ni vimeo kupita kiasi, hii wizara sijui ina mdudu gani kila kukicha vituko wamewapa darasa la saba mitihani yote ya kuchagua jibu mpaka hisabati watoto wamefaulu na kuchaguliwa sasa wanasema watoto wote watafanya mitihani tena ili kujiunga na kidato cha kwanza.
 
Songambele;3053552]Waziri bora ni Membe manake kawakazia wazungu mpaka wamerudisha makuta na mambo yao ya uchoko yamedunda na bomu ni Prof. Mwandosya sababu karibu mwaka mzima yuko ktk matibabu.

Zile pesa wamefanyia sherehe za miaka 50 ya uhuru.
 
Nianze kwa kusema kwamba viongozi wabovu kabisa katika nchi hii ni Kikwete na msaidizi wake Pinda. Kikatiba, hao ndiyo tegemeo la wananchi kuliko mtu yeyote hapa nchini lakini utendaji wao wa kazi ni hovyo na ndiyo unaoirudisha nchi hii nyuma kimaendeleo. Watu hao wawili wanasindikizwa na mawaziri wafuatao (by ranking):-
(1) William Ngereja
(2) Celina Kombani
(3) Stephen Wassira
(4) Mustafa Mkulo
(5) Shukuru Kawambwa
(6) Magembe
(7) ....

8)nundu Omari
 
Nah0dha mmemuacha kituoni?hahahahahah,mpemba mwinyi huyu! Na Geshi rake ra porisi
 
Kunamtu anaitwa maembe,yaani kichwa ni maembe mtupu. Naye eti ni waziri,

Ustaadh Membe hahahaha....maaskofu na waumini wao wanamsubiri kwa hamu wasikie anagombea Urais. Kwanza nilisikia chuo kikuu cha dini yetu kinataka kumpa PhD ya heshima
 
Mkuu Mnyisanzu,

Vipimo vya ubora na ubomu lazima viainishwe.Kwangu mimi baraza lote la mawaziri la Mheshimiwa Kikwete limekosa viwango vya ubora lakini wapo baadhi ya mawaziri wachache ambao wameonyesha uwezo mkubwa.

Waziri bora Samwel Sitta.

Waziri mbovu William Ngeleja na Dr Hussein Mwinyi .
 
Baraza la mawaziri linareflect aliyelichagua.. so angalieni aliyelichagua

halafu sidhani kama tuna baraza la mawaziri! tuna genge la wachumia tumbo tu.. although magufuli anajitahidi kwa mbali
 
wa kwanza ni JK. kama bidhaa feki hii ya kichina.
Ghasia
Ngeleja
Shukuru
kombani
Wasira
membe/mende
majembe
 
Vigezo: firm decisions, vision yake na kutatua kero kwa haraka.
 
Waziri bora kuliko wote Sitta anayefuatia kwa ubora ni Wazir wa mambo ya nje Bernad Membe na wanaoburuza mkia ni Maghembe na Aggrey Mwanri.
 
Back
Top Bottom