Hivi hapa Tanzania kuna mawaziri??
Nianze kwa kusema kwamba viongozi wabovu kabisa katika nchi hii ni Kikwete na msaidizi wake Pinda. Kikatiba, hao ndiyo tegemeo la wananchi kuliko mtu yeyote hapa nchini lakini utendaji wao wa kazi ni hovyo na ndiyo unaoirudisha nchi hii nyuma kimaendeleo. Watu hao wawili wanasindikizwa na mawaziri wafuatao (by ranking):-
(1) William Ngereja
(2) Celina Kombani
(3) Stephen Wassira
(4) Mustafa Mkulo
(5) Shukuru Kawambwa
(6) Magembe
(7)!! ....
Viongozi vilaza Tanzania
1. Kikwete
2. Pinda
3. Ngeleja
4. Wassira
5. Shukuru Kawambwa
5. Mwinyi
6. Mkulo
7. Kombani
8. ..........
list goes on