Waziri Biteko, Tanesco wamekudharaulisha sana

Waziri Biteko, Tanesco wamekudharaulisha sana

Biteko naye ni miongoni mwa wajinga wenye vyeo. Nukuu zake zote ni kutoka kwenye nyimbo za wasanii 20% na Mrisho Mpoto badala ya maandiko ya wanazuoni nguli.. Kuna kiongozi hapo?
 
CCM imeshapita, nani wa kushindana nayo muda huu?

Sasa tunapiga pasi tu.
Kama unaishabikia CCM, huna uhalali wa kuilalamikia TANESCO wala taasisi yoyote ya umma, maana CCM ndiyo wameshindwa kuleta uwajibikaji na ufanisi.
 
Hizi idarq zinatqkiwa zifumuliwe juu chini zote.
.vijana wanaomaliza vyuo wapelekwe on hands training nchi zinazojitambua kama Saudi Arabia,UAE, Oman au Qatar. Wapate exposure.

Wasipelekwe magharibi, wanaishia kuwa vibaka tu wakirudi huko.
Wewe udini umekujaa tu uzee wako Mbona wewe umesoma Western uko?
Magharibi ndio wana best model kwa mambo mengi hata hao wavaa makobazi huenda uko Kujifunza
 
Hahahaha nimecheka sana, MBS kasoma USA na yule dogo anayekuja kurithi pale UAE kasomo Uingereza training zake za kijeshi.
Kifupi hao vijana wanaoleta mabadiriko middle east wamesoma West..

Halafu wewe unataka tukajifunze middle east.

Tanzania inahitaji kiongozi wa aina ya Magufuri au zaidi ya Maagufuri ili nchi uende.
Achana na Uyo bibi kizee kila Kitu kwake anakitazama kwa Mlengo wa dini tu, Mshamba sana Uyo bibi yeye mwenyewe kasoma West
 
Pale wananatakiwa wakuzwe wafumuliwe wote. Suala la customer care limekuwa ni mtihan sana. Nchi hii
Namna gani private companies wanaweza? Kwann gov isijifunze huko?
Tatizo ajira za kindugu na za kudumu Kwenye secta binafsi ajira niza mikataba na kama huna cha kutoa katika maendeleo ya shirika mkataba huaongezewi au pia husitishwa.
 
Back
Top Bottom