Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Wana jamvi:-
waziri wa nishati amesisitiza kuwa nchi haina mgawo wa umeme na hapatakuwa na mgawo katika tanzania yetu! Je, hili tatizo la kukatika umeme kila siku katika muda ule ule kwa muda wa mwezi sasa tulieze kwa kutumia lugha gani zaidi ya mgawo? Hii habari ya umeme kuwa na flactuation kubwa tulieleze kwa lugha ipi zaidi ya matokeo ya mgawo?
waziri wa nishati amesisitiza kuwa nchi haina mgawo wa umeme na hapatakuwa na mgawo katika tanzania yetu! Je, hili tatizo la kukatika umeme kila siku katika muda ule ule kwa muda wa mwezi sasa tulieze kwa kutumia lugha gani zaidi ya mgawo? Hii habari ya umeme kuwa na flactuation kubwa tulieleze kwa lugha ipi zaidi ya matokeo ya mgawo?