Wazee wapeni magari vijana waendeshe!

Wazee wapeni magari vijana waendeshe!

We inaonekana, ulikimbia shele kwa kula ada

Hasa hawa dogo waliosoma Ulaya na Marekani halafu wakarudi tupu baada ya kupukutisha ada ndio wenye matatizo ya kuwasumbua sana dingi wao; wanajidai kutaka kumaintain lifestyle ya huko walikofulia!!
 
Hayo mawazo mnayojidanganya kuwa mnasafisha nyota ndio huwa yanawalemaza!!Wafute VITZ zao ndio wakasafishie nyota!!
ungekuwa unaendesha gari mjini.Dar ungenielewa kwanini mada hii ipo
 
We inaonekana, ulikimbia shele kwa kula ada.
Hapana mkuu,nilipiga shule bila tatizo ila natetea wenzangu naona wanapigika wakati ajira kwa wazee zipo!
 
Hasa hawa dogo waliosoma Ulaya na Marekani halafu wakarudi tupu baada ya kupukutisha ada ndio wenye matatizo ya kuwasumbua sana dingi wao; wanajidai kutaka kumaintain lifestyle ya huko walikofulia!!
Mkuu wazee wanatafuta mali kwaajili yao/wajukuu/vijukuu sio mbaya tukipewa kazi hata sisi mbona wadosi wanabebana.
 
lenzi mbonyeo!.hata traffic akikuta kibabu.anaishia kuamkia na kusepa!.vinabana ajira! havina michepuko kama vijana kwanini ukomae kujiendesha!
kumbe hujajua,vibabu havitaki kuendeshwa kwakuwa vinamega vi-honey vyenu na ndiyo vinaongoza kuwa na totoz kali kwakuwa vinahonga hadi uliotakiwa kuwa urithi wenu.
Nasiku hizi vinakula"mundende"ile ya congo njo vile fame inagaulaka kwa bed ile mbaya.
 
kumbe hujajua,vibabu havitaki kuendeshwa kwakuwa vinamega vi-honey vyenu na ndiyo vinaongoza kuwa na totoz kali kwakuwa vinahonga hadi uliotakiwa kuwa urithi wenu.
Nasiku hizi vinakula"mundende"ile ya congo njo vile fame inagaulaka kwa bed ile mbaya.
Babu atazima akiendekeza ba mwasi.ba petit ndio banakamatisha bamwashi bila rijaa/mbongo banabatosha na loketo tu.njoo vile
 
Na wawafundishe na kurithisha ufundi wa hayo magari.Siyo gari likiharibika mzee anamuondoa kijana kwa kumuagiza kitu fulani mbali.
Anafanya hivyo ili kijana asjifunze ufundi toka kwa mzee.Hatimaye huyo mzee anakufa na ujuzi wake.
 
Na wawafundishe na kurithisha ufundi wa hayo magari.Siyo gari likiharibika mzee anamuondoa kijana kwa kumuagiza kitu fulani mbali.
Anafanya hivyo ili kijana asjifunze ufundi toka kwa mzee.Hatimaye huyo mzee anakufa na ujuzi wake.
kweli mkuu.ukauzu haukubaliki kuna wazee ni mabandidu sana.
 
Inabidi.uwemo,tuwarudishe kwenye mstari hawa wazee!.utakufeje na maujuzi bila kurithisha vijana? yeye si alifundishwa!
Ingia direct kwenye thread tupige dongo...hapa hapafai watapandisha mori km masai !!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom