Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,063
- 2,873
Capital nguvu zenu mnazojivunia. Mkaanzishe mashamba mkuranga au vjijini kwenu mjiajiri. Ukiona tumefika uzee tuna magari tulitumia capital ya nguvu zetu sawa sawa si kuonea rika Fulani. Uzee ni Lulu na Heshimapunguza jazba mkuu! huna watoto?.tupo TZ mifano ya Ulaya is not reachable huku! vijana hawana capital.watalima veepe? nyie wazee ndio mtupishe hapa tawo mwende mkuranga mkale upepo na natural food