Wazee wapeni magari vijana waendeshe!

Wazee wapeni magari vijana waendeshe!

Kwahiyo mleta mada unashauri mtu akifika umri fulani asipewe driving licence? Au driving licence yake isifanyiwe renew?

Mimi nafikiri ungeleta fact kuwa ajali nyingi zilizotokea zimesababishwa na wazee hiyo kidogo ingeleta maana,lakini kulaumu tu wazee pengine ajali nyingi husababishwa na vijana hiyo itakuwa haina maana.
 
Asilimia kubwa ya foleni za mjini zinasababishwa na madriver wazee au vijana na watu wanaoongoza kuajiri wazee ni wahindi coz ni madereva wa bei poa
 
wazee wamestaafu mdogo wangu.mimi bado kijana.sijafikia huko.ila naona hizo shida.niliajiri personal driver mzee.nilijutra nikawa namwendesha yeye badala ya yeye kuniendesha.
Hahahaaa...... sawa Mkuu, huyo jamaa nadhani atakuwa amekuelewa vizuri.
 
Asilimia kubwa ya foleni za mjini zinasababishwa na madriver wazee au vijana na watu wanaoongoza kuajiri wazee ni wahindi coz ni madereva wa bei poa
Tupatie % ya madereva wazee mkuu.
 
Na sisi ni wazee watarajiwa si kwamba wanapenda ila majukumu mengi sasa kutoa ajira kwa kijana anaona anapunguza salio au kama ni muajiliwa basi ujue hana kitega uchumi uzee muusikie tu jamani
 
Hahaha I see my dad here...anatumia manual basi hizo break zinavyoshikwa mmhh htr...
 
Hivi jf kuna wazee wangapi kweli??
Naona vijana ndo wameshika hatamu.
Wapo vijana humu Jf wanawachukia na kuwazarua wazee. Usiusemee umri ambao hujafika kwa kusoma theories. Nani kasema wazee hawawezi kudrive
Nendeni USA, Europe, Japan na China muone wazee wanavyoenjoy kudrive range, Benz, vogue kwenye free ways syo barabara zenu za folen. Mkatafute mashamba mkuranga, rufiji, rukwa mjiajiri. Mnaowaita wazee wataondoka kwa mujibu wa sheria na si kuwapisha nyie jobless mnaolala hadi saa4
 
Nasikia vijana mna fujo. Mkipewa gari tu baada ya siku mbili kwisha. Kwanza kijana atageuza gari ya mzee sumaku ya kukamata toto mujini. Ndomana vizee havitoi ili viendelee kutafuna dada zetu
 
Kwahiyo mleta mada unashauri mtu akifika umri fulani asipewe driving licence? Au driving licence yake isifanyiwe renew?

Mimi nafikiri ungeleta fact kuwa ajali nyingi zilizotokea zimesababishwa na wazee hiyo kidogo ingeleta maana,lakini kulaumu tu wazee pengine ajali nyingi husababishwa na vijana hiyo itakuwa haina maana.
siongelei ajari mkuu! hiyo ni mada nyingine tofauti.ajari anapata mtu yeyote.mimi naongelea job opportunity kwa vijana na kuepusha foleni kwa wazee wanaombwela barabarani.wasinyimwe leseni kwakuwa wazee wanatofautiana uimara wao wa afya.pia kwa emergency mzee aweze kuendesha kutokana na mazingira.mfano mikoani magari machache.
 
Asilimia kubwa ya foleni za mjini zinasababishwa na madriver wazee au vijana na watu wanaoongoza kuajiri wazee ni wahindi coz ni madereva wa bei poa
Ukiongozana na mzee,huku unaharaka ni sheedah!
 
Na sisi ni wazee watarajiwa si kwamba wanapenda ila majukumu mengi sasa kutoa ajira kwa kijana anaona anapunguza salio au kama ni muajiliwa basi ujue hana kitega uchumi uzee muusikie tu jamani
umejitetea mkuu!.kweli kilio cha mtu mzima lazima ukune kichwa jua kuna jambo!
 
Wapo vijana humu Jf wanawachukia na kuwazarua wazee. Usiusemee umri ambao hujafika kwa kusoma theories. Nani kasema wazee hawawezi kudrive
Nendeni USA, Europe, Japan na China muone wazee wanavyoenjoy kudrive range, Benz, vogue kwenye free ways syo barabara zenu za folen. Mkatafute mashamba mkuranga, rufiji, rukwa mjiajiri. Mnaowaita wazee wataondoka kwa mujibu wa sheria na si kuwapisha nyie jobless mnaolala hadi saa4
punguza jazba mkuu! huna watoto?.tupo TZ mifano ya Ulaya is not reachable huku! vijana hawana capital.watalima veepe? nyie wazee ndio mtupishe hapa tawo mwende mkuranga mkale upepo na natural food
 
Nasikia vijana mna fujo. Mkipewa gari tu baada ya siku mbili kwisha. Kwanza kijana atageuza gari ya mzee sumaku ya kukamata toto mujini. Ndomana vizee havitoi ili viendelee kutafuna dada zetu
hii open truth mkuu.gari imewekwa full tank na babu lazima upitie totoz Migo/Sinza/Kinondoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom