Dereva wa gari huwa anasinzia sometimes. Hivi ukiendesha pikipiki kuna muda unaweza kusinzia?View attachment 3636218Ziwa Rukwa, mkoani songwe.
Nice viewView attachment 3636580
Tunahamia trip ya ziwani.
Sio rahisi mkuu japo inachosha sana hasa rough road.Dereva wa gari huwa anasinzia sometimes. Hivi ukiendesha pikipiki kuna muda unaweza kusinzia?
Daraja la hapo limekwenda na maji au ujenzi haujakamilika?.
Ujenzi unaendelea japo kwa mbinde.Daraja la hapo limekwenda na maji au ujenzi haujakamilika?.
Nimepanda zangu Tilisho 😂😂
Nani kakwambia mimi nimeenda shule au msomi? Wewe ni Dr manyaunyau au? GTFOH.MAWAZO YA UWANDISHI WAKO BADO NI MGANDO - Huwezi kuandika hoja nzito kama hii bila kupangilia hoja zako kwa mantiki ya msingi kama msomi mzuri - Unakuwa kama hujataka kuandika andiko kama msomi huru nadhani ujitafakari mwandishi kwa hilo maana upo very poor kabisa katika andiko lako unakuwa kama sio msomi au mtu umeenda shule kabisa .....
Chukua pepsi baridi kaka ushushie nimeipenda hii! 👍Nani kakwambia mimi nimeenda shule au msomi? Wewe ni Dr manyaunyau au? GTFOH.