UsefulOhoo pole sana kaka, lakini pia uwapo barabarani jitahidi kutumia na lugha za ishara kidogo...
Mfano kabla ya kuli overtake lorry, unaweza kumshitua kwa kumpigia horn ya kuibia kidogo, hii itamfanya dereva lorry akuzingatie na akupe nafasi ya ku overtake kwa wakati (angalizo, usije ikampigia horn ya fujo kama ile ' Piiiiiiiiiiiiiii... Piiiiiiiiiiiiii... Piiiiiiiiiii... hapana, ni Pipip.. Pipip...)
Alafu unaongeza na kumuwashia taa na kuzima, bila kusahau kuwasha indicator. Hiyo ya taa itampa ujumbe hadi Hiace kwamba nawewe una overtake kidogo, kwahivyo alegeze goti kidogo kukupa nafasi.
Mwisho kabisa jitahidi sana sana sana kuwa na nidhamu barabarani, overtake nzuri inahitaji nodhamu kubwa sana, hakikisha unaona mbele vizuri na hakuna chombo kilicho karibu.
Pia zingatia kukijua chombo chako na uwezo wake, unaweza kuona lorry limebeba container ya 40ft kumbe ni empty container na lorry ikawa nyepesi kuchanganya kuliko uwezo wa chombo chako.
Hakikisha unatengeneza timing nzuri ya kufanikisha overtaking ndani ya muda, usibweteke kwa kuona 40ft container kuidharau lorry [emoji597], itakuja kukushangaza siku moja.
Pole sana ndugu na nikutakie kheri zaidi uwapo barabarani.
Mwisho kabisa nawakumbusha madereva wenzangu kuongeza umakini na kujenga nidhamu barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwezi wa 7 nimeplan road tour kali sana from Dar to Musoma to Tarime na kurudi na gari ntakayotumia ni 2010 Toyota Wish 1800cc 2ZR-FAE.
Kwa uzoefu wa wanaroad trip hii gari itaweza kwenda na kurudi? (1330km x 2) Gari bado ni mpya no E.View attachment 2636511
Mkuu, badala ya kwenda na kurudi njia iyo iyo kwanini usifanye mzunguko?Mwezi wa 7 nimeplan road tour kali sana from Dar to Musoma to Tarime na kurudi na gari ntakayotumia ni 2010 Toyota Wish 1800cc 2ZR-FAE.
Kwa uzoefu wa wanaroad trip hii gari itaweza kwenda na kurudi? (1330km x 2) Gari bado ni mpya no E.View attachment 2636511
Ni idea nzuri kabisa ila Wish iko chini sana sidhani kama itaweza kupita njia ya Serengeti njia hiyo inafaa gari zilizo juu kidogo au Off Road 4WD kabisa.Mkuu, badala ya kwenda na kurudi njia iyo iyo kwanini usifanye mzunguko?
View attachment 2664717
Ingawa sina uhakika na iyo njia ya Muso. A to Arusha (nadhani unapita Serengeti) kama inapitika kwa gari kama Wish.
Ingekua inapitika ungezunguka ingekua unyama. Unless kue na ulazima wa kurudia njia Ile ile ulieendea (ya Dodoma).
Ameshikwa kiboya sana🤣
So sad, but our God is great. Pole sana mkuu.Mwezi wa 5, ulikuwa mbaya sana kwangu nilikula mizinga miwili japo haikuwa mikubwa sana ila chochote kingeweza kutokea
1. Saa 8 usiku nikirudi home, kuna jamaa alikuwa na subaru alinichomekea maeneo africana baada ya kutaka ku overtake mbele akakutana la lorry limeharibika ikabidi arudi kulia nilipokuwa nikamkwepa kidogo, shughuli ikaishia hapo maana niligonga kerb nikavunja rim, kiufupi gari chini kote imebidi kubadilishe. Kiufupi hata mimi nilikuwa kibati hapa Mungu kaniokoa
2. Siku ya fainali ya yanga, nimechek game wakati nikiwa narudi home, sijui hata ilikuaje nilikuwa naongea na simu nikajikuta nimeingia nyuma ya excavator sijui hata lilikuwa linafanya nini barabarani mda huo, japo kukosa umakini kwangu kulichangia na nilikuwa nimeshapiga vyombo kiasi
Ila ninamshuku Mungu nipo salama japo hii ajali ya pili ilitikisa mwili kiasi mpaka sasa hivi nina maumivu maeneo ya bega.View attachment 2668370View attachment 2668371
God is Great, asante sana mkuu...nimeshapoaSo sad, but our God is great. Pole sana mkuu.
pole sn mkuu!Mwezi wa 5, ulikuwa mbaya sana kwangu nilikula mizinga miwili japo haikuwa mikubwa sana ila chochote kingeweza kutokea
1. Saa 8 usiku nikirudi home, kuna jamaa alikuwa na subaru alinichomekea maeneo africana baada ya kutaka ku overtake mbele akakutana la lorry limeharibika ikabidi arudi kulia nilipokuwa nikamkwepa kidogo, shughuli ikaishia hapo maana niligonga kerb nikavunja rim, kiufupi gari chini kote imebidi kubadilishe. Kiufupi hata mimi nilikuwa kibati hapa Mungu kaniokoa
2. Siku ya fainali ya yanga, nimechek game wakati nikiwa narudi home, sijui hata ilikuaje nilikuwa naongea na simu nikajikuta nimeingia nyuma ya excavator sijui hata lilikuwa linafanya nini barabarani mda huo, japo kukosa umakini kwangu kulichangia na nilikuwa nimeshapiga vyombo kiasi
Ila ninamshuku Mungu nipo salama japo hii ajali ya pili ilitikisa mwili kiasi mpaka sasa hivi nina maumivu maeneo ya bega.View attachment 2668370View attachment 2668371