Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi,marefu na ya Kati. Mwaka huu napiga mikoa ya kaskazini Tanga,Kili na Arusha. Je mwenzangu road trips zako wapi?....
Hio namba 2 nimeiweka kuwatoa povu wapunguze stress
Hivyo vitanichafulia gari, nitakulipa fidia.Hakikisha kwenye buti usisahau mabungo yangu na kadeli kadogo kenye sanvita.
Hivi ntakudai hadi uvilipe 😅.
Aahahahahaha wawekee na kapicha kabisa povu lichanganyike na udenda vizuri eehehehehee😜
Sio nipande tupumzike huko kwenye hali ya hewa ya Germany?Mambo double R, uliadimika hadi nikajua unachukua PhD ya karantini bin korona 😅😅
Ukifika Mombo nipigie niteremke tufanye ligi kidogo kuelekea kaskazini zaidi. Niko na manual gear DKQ 🤪.
Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi,marefu na ya Kati. Mwaka huu napiga mikoa ya kaskazini Tanga,Kili na Arusha. Je mwenzangu road trips zako wapi?....
Japanese
Duuuu mimi nikajua nimepita na technologia, nikahisi DVA ni model namba ya gari fulani kubwa kubwa na hadimu 😂 😂 😂 😂 😂ila plate number zinakimbia sana aisee sahivi DVA tena 350+