Wazee wa Mtwara wanajipanga kuigeuza Gesi yote kuwa maji

Status
Not open for further replies.
Habari ninazozipata ni kuwa Wazee wa Mkoani Mtwara wanajipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa Serikali inapata hasara ya Matrilioni kwa kuigeuza Gesi yote ipatikanayo mkoani mtwara kuwa Maji na hivyo kuharibu malengo ya Serikali kuisafirisha.Nasubiria hii sinema iendelee
hii akili yako inafaa kwenye kombolela tu;chukua hatua.
 
Maskini Wakubwa Hawa!
Halafu wa kwanza kusema mikoa ya kaskazini inapendelewa,kumbe wana akili za panzi.
 
Tusubiri tuone, ila naona ni tishia nyau maana kama tangu mwanzo wana uwezo huo basi wasingekuwa na haja ya kufanya vurugu zilizogharimu maisha ya watu.
 
haya tunasubir ya kiyeuyeu wa iringa yajirudie mtwara viva makonde, :heh:
 
Habari ninazozipata ni kuwa Wazee wa Mkoani Mtwara wanajipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa Serikali inapata hasara ya Matrilioni kwa kuigeuza Gesi yote ipatikanayo mkoani mtwara kuwa Maji na hivyo kuharibu malengo ya Serikali kuisafirisha.Nasubiria hii sinema iendelee

Tatizo la Watanzania huwa hatupendi kuelezana ukweli. Tunapenda kuambiwa mambo ya kufurahisha, hizi akili za kina BIGI SHOO sijui BIGI JII na Sizinga.

Palikuwa na juha mmoja miaka ya nyuma akienda kwa jina la Kinjeketile Ngwale. Huyu naye alikuwa na akili kama hizi za kijinga akawaponza wenzake wakafa kipuuzi.

Sasa huu ujinga gani umeleta hapa jukwaani? Na kama wana akili hizo kweli basi mtakubaliana na mimi kwamba inahitaji watu watoke nje ya Mtwara kuja kuiendeleza Mtwara na sio wenyeji. Akili za kijinga kabisa
 
Tatizo la Watanzania huwa hatupendi kuelezana ukweli. Tunapenda kuambiwa mambo ya kufurahisha, hizi akili za kina BIGI SHOO sijui BIGI JII na Sizinga.

Palikuwa na juha mmoja miaka ya nyuma akienda kwa jina la Kinjeketile Ngwale. Huyu naye alikuwa na akili kama hizi za kijinga akawaponza wenzake wakafa kipuuzi.

Sasa huu ujinga gani umeleta hapa jukwaani? Na kama wana akili hizo kweli basi mtakubaliana na mimi kwamba inahitaji watu watoke nje ya Mtwara kuja kuiendeleza Mtwara na sio wenyeji. Akili za kijinga kabisa

Siku uchawi ukikufika wewe binafsi utajifunza adabu tu.Take my words
 
Mtwara geuzeni Marekani iwe kwenu hapo nitaona ushujaa wa wazee wenu! Nyambafuu sana ninyi, mmekalia uwizadi tu.

Mbona hamkuwageuza Askari wawe miti ya kivuri na Siraha ziwe mihogo ili mule.
 
Nlazma itoke kwamanufaa ya wote na taifa kwa ujumla, kwa ushaul wangu wasomeshen watt wenu il kukabiliana na soko la ajla ya gas badala yakuwaza uchawi na maandamano
 
Hivi yule bibi aliyeanzisha hiyo mambo ya kugeuza gas kuwa maji aliishia wapi?
Nasikia eti kaenda kusikojulikana na gas haionekani. Pia wanajeshi walioko msimbati eti wanachapwa viboko ila hawawaoni ni nani anayewachapa na pia eti kuna nyoka wanaowakimbiza pia... Siwezi thibitisha au kujua ukweli wa haya ila watu naowafahamu wanaoishi mtwara wameniambia haya...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom