chai ya rangi
Senior Member
- Mar 7, 2026
- 130
- 404
Mimi nilipata 756M, lakini hapa nilishinda mara kadhaa mfululizo,
Nilianza kwa kushinda 6M nikaibetia yote nikashinda 37M nikaibetia yote nikashinda 109M nikaibetia yote nikashinda 756M, nikaibetia yote ikapigwa...
Lengo langu lilikua ni kufikisha 1B na ilibaki mara moja tu.
Kilichonisaidia ni consistency na discpline maana yake nisingekua na discpline nilivopata 6M ningeishia hapo bila kufika 700+M japo kunawatu watasema nilifanya ujinga kwa jicho la kawaida.
Nilianza kwa kushinda 6M nikaibetia yote nikashinda 37M nikaibetia yote nikashinda 109M nikaibetia yote nikashinda 756M, nikaibetia yote ikapigwa...
Lengo langu lilikua ni kufikisha 1B na ilibaki mara moja tu.
Kilichonisaidia ni consistency na discpline maana yake nisingekua na discpline nilivopata 6M ningeishia hapo bila kufika 700+M japo kunawatu watasema nilifanya ujinga kwa jicho la kawaida.