Wazee wa ligi. Dar - Mbeya

Ligi inaendelea
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376035960452.jpg
    46 KB · Views: 1,105
  • uploadfromtaptalk1376036028417.jpg
    50.5 KB · Views: 1,064
  • uploadfromtaptalk1376036099121.jpg
    62.8 KB · Views: 1,046
  • uploadfromtaptalk1376036193484.jpg
    66 KB · Views: 1,009
hapo ikitokea kabang hapo hilo tanker hapo lazima li explode na kuwakaanga abiria wote wanaocheza na maisha yao kwa kukaa kimya huku maisha yao yakiwa hatarini
 
Hapo likitokea gari upande wa pili lazima Kinuke...
 
Twiga kiboko yao hao wote ulowataja,anafuatiwa na Happy nation. Abood hayumo ktk ligi labda siku hzi.
 
Kuna mashine moja ya Happy Nation nyuma imeandikwa "Voice of Manka". Hicho ni kisu, mwisho wa maneno. Sijajua hiyo scania engine yake ilifanywa nini. Hiyo ndo kiboko ya gari zote za Mbeya, iringa na Songea.
 
hapa yu tong ni NEW FORCE. imepitwa NGANGA nayo itaachwa. TWIGA siku hizi amefulia ana basi moja safari si kila siku. sasa hivi ABOOD anaongoza iliyokuwa inaenda Tunduma sasa imepelekwa Mbeya kukazia ligi namba zake ni 297 ATH. then linafuata TWIGA ndo HAPPY. na NGANGA. YUTONG haziwezi ligi na SCANIA hasa kwa MARCOPOLO
 
kabla Ilikuwa 1. Twiga. 2. Happy Nation. 3. Abood. 4. Nganga. wengine Upendo na Hai exp.
 
Happy nation ana bus moja inaenda mwanza mwisho wa reli hamna cha yutong wala nn!!inakupita uko kwenye SUV kama unatembea kwa miguu vile!!niliogopa sana
 
Sawa ila ukisikia puupaaa,uuuuwiiii,maamaaa,Mungu wangu,Yesuuu...abiria tunakimbilia kusema walikuwa katika mwendo mkali...na maneno mbovumbovu ingine...aaakha!
 
Iyovi hiyo mkuu????!!!


Wanabalaa hao jamaa ila mwisho ni wanaume wa Arusha-Mbeya. Kama kuna mdau kwahi kupanda atashuhudia hapa
 
Arusha - Mbeya ni waakina nani wanaoongoza. mabasi ya huko ni Sumry. Abood. Hood n.k
 
Hawa nao wamo. Dar - Songea basi tatu za kampuni moja
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376078614020.jpg
    75 KB · Views: 1,254
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…