Wazee wa kupata tabu na dreamliner hamjambo?

Dong Jin

JF-Expert Member
Jun 4, 2018
754
1,442
Hiki ni kiumbe kigeni kabisa humu... kinahitaji ushirika wa mambo mengi sana... yale ya sirini msiogope kuni PM na yale yanayojadirika natia miguu yote humo... npo single so sihitaji usumbufu sababu sipo kwenye ndoa nafahamu kuwa walioko kwenye ndoa hawana hamu na wanapata taabu sana.... Hahabaaaaah... . Anyway kazi njema...
 
Karibu sana mkuu!
Nunua na miche 100 ya miembe tupate matunda. @800 tu.
Call 0764622243 or whatsapp 0683011003
 
Hiki ni kiumbe kigeni kabisa humu... kinahitaji ushirika wa mambo mengi sana... yale ya sirini msiogope kuni PM na yale yanayojadirika natia miguu yote humo... npo single so sihitaji usumbufu sababu sipo kwenye ndoa nafahamu kuwa walioko kwenye ndoa hawana hamu na wanapata taabu sana.... Hahabaaaaah... . Anyway kazi njema...
Hehehee asee kila la kheri huku wanaume wako kibao utapata tuu
 
Hehehee asee kila la kheri huku wanaume wako kibao utapata tuu
Hahahahabaaaaaaah mi ni dume mzee baba... nawatahadhalisha akina madam Fey humu wasije nibemenda... mie bado katoto lakin kenye mambo
 
Back
Top Bottom