Nitakudipu =? Nitakubeep (nitakubipu)
Ntakudeep, badae -ntakubeep badae
Daah, naona tumegongana watatu!Deep badala ya Beep
Kwa wale kama wapo waliosoma ktk kijijini kwetu wanakumbuka tulikuwa tumeanzisha lugha ambayo ilikuwa kama si member siyo rahisi kuielewa nayo ni "chamchanisechama chakuchawa, chawechawe chauchanachatachaka chakuchasuchambuchaa chawachatu.wakati tuko shule hili suala lilikuwa ni muhimu sana na tulikuwa na note books kwa ajili ya hiyo michapio, kwa mfano!
Hiyo Chongea Konea hapa meaning Hiyo kona chongea hapa
Maftudari kava meaning Cover ya madaftari
Endeleeni..................................!