B Babu Original Member Jun 29, 2012 31 3 Jul 16, 2012 #1 Wametulia sasa, ama uzee, wametulizwa, au ndo walishapelekwa kule wapi.... kwa wadai haki... alikopelekwa Dr. Ulimboka?
Wametulia sasa, ama uzee, wametulizwa, au ndo walishapelekwa kule wapi.... kwa wadai haki... alikopelekwa Dr. Ulimboka?
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,678 68,662 Jul 16, 2012 #2 Usitarajie kwa jei kei,imekula kwao jeikei kamaliza fwedha zote hazina,kamaliza hela zote za mifuko ya kijamii,sirikali mufirisi.
Usitarajie kwa jei kei,imekula kwao jeikei kamaliza fwedha zote hazina,kamaliza hela zote za mifuko ya kijamii,sirikali mufirisi.
B Babu Original Member Jun 29, 2012 31 3 Jul 16, 2012 Thread starter #3 Kama kweli haki ya mtu haipotei je, huyu JIKE na maswahiba wake watakuwa na immunity ya aina gani ili wasiburuzwe korti
Kama kweli haki ya mtu haipotei je, huyu JIKE na maswahiba wake watakuwa na immunity ya aina gani ili wasiburuzwe korti