Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,809
- 8,970
Kama kweli haya yaliyotokea 29Oktoba hayawahusu basi VAENI NGUO ZA KIJANI zile piteni tu kwa amani kabisa mitaani mkiwa mnatembea kifua mbele!
Kama mnaamini hamkuzika watoto au wajukuu kutokana na kupigwa risasi basi tembeeni kifua mbele! bahatu nzuri kesho ni siku ya Kazi so mji utakuwa nyomi!
Na kwa kuwa mnakutana mchana kweupeee ambapo tutawaona sura zenu badi itakuwa poa sana!
Tunatamani kuona sura halisi za washabiki wa wauwaji ambao hawajawahi kujutia kuua!
Kesho mnaenda kuweka historia tenaa nyie wazee ubwabwa
NB: niwakumbushe tu wakati kikwete alipowaita wazee wa DSM kusungumzia ESCROW wazee waalikomaa afukuze wahusika hadi waliopata mgao
ila nyie wazee njaa naamini hamtamhoji wala kumwambia ukweli Chief Hangaya kuwawajibisha wote WALIOUA MAELFU! na hataa kumlazimisha na yeye apumzike tusonge mbele!
KESHO MTAWEKA HISTORIA nyie wapenda posho za DAMU za ndugu zetu waliotangulia mbele za haki kwa kupinga UTEKAJI, UFIRAJI, UUAJI USIO NA HAYA, UBAMBIKAJI WA KESI! ipo siku tu isiyo na jina hamtaaminj
Kama mnaamini hamkuzika watoto au wajukuu kutokana na kupigwa risasi basi tembeeni kifua mbele! bahatu nzuri kesho ni siku ya Kazi so mji utakuwa nyomi!
Na kwa kuwa mnakutana mchana kweupeee ambapo tutawaona sura zenu badi itakuwa poa sana!
Tunatamani kuona sura halisi za washabiki wa wauwaji ambao hawajawahi kujutia kuua!
Kesho mnaenda kuweka historia tenaa nyie wazee ubwabwa
NB: niwakumbushe tu wakati kikwete alipowaita wazee wa DSM kusungumzia ESCROW wazee waalikomaa afukuze wahusika hadi waliopata mgao
ila nyie wazee njaa naamini hamtamhoji wala kumwambia ukweli Chief Hangaya kuwawajibisha wote WALIOUA MAELFU! na hataa kumlazimisha na yeye apumzike tusonge mbele!
KESHO MTAWEKA HISTORIA nyie wapenda posho za DAMU za ndugu zetu waliotangulia mbele za haki kwa kupinga UTEKAJI, UFIRAJI, UUAJI USIO NA HAYA, UBAMBIKAJI WA KESI! ipo siku tu isiyo na jina hamtaaminj