Wazee wa CCM walia Arumeru

Wazee wa CCM walia Arumeru

Dah!! hii imenifurahisha sana. Masikini wazee wetu sijui wamelishwa nini na Chama Cha Mauaji (CCM).
 
attachment.php
wazee waichoka ccm arumeru wanabebwa na mafuso wakati viongozi wao wako kwenye ma vx na land cruiser
hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahaa.................. hiii si mchezo eti!!!!!!
 
Hapo wazee wanasubiri buku 10 toka kwa mweka hazina ccm!ccm bila rushwa sii chama
 
Kwani hakuna mabasi? Mbona Mkutano Mkuu pale Dodoma tunaona mabasi yamejazana tena yenye AC na mapazia!! Nakumbuka kulikuwa na Shabiby, Scandnavia etc yanabeba watu kutoka Dodoma mjini kwende ukumbini na wakati wa kurudi pia kulikua na minibus kibao acha mbali magari binafsi ya viongozi na wanachama wenye uwezo

Mzee hayo yana wenyewe hawa walavumbi yao mafuso tu.....
 
Back
Top Bottom