Wazee Nafanyeje?

Wazee Nafanyeje?

Hongera kuitwa baba.
Nishakuwa baba kitambo bro. Nilitaka kumsaidia huyu dada maana hatujafahamiana muda mrefu ndio kwanza nimemkuta chuo katika harakati za kuhamia Dodoma. Nilitaka amalize diploma yake salama na ndio kwanza ni mimba chnga anaweza akaichomoa hiyo
 
Umeshawah kuwaza wazaz wako wangetoa ya kwako ungekuwa na guts za kufanya hvyo
YYeah... Mawazo ya kishetani haya nakubali, lakini muda si mwafaka huu
Mzee baba saidia... najua nawakwaza wengi ila sina namna
 
Sijaoa asee... ndio nachokisema huyo wa sasa anatosha mpaka nioe sasa huyu mwingine nitamfanyeje nitamhudumiaje si nitamtesa mtoto wa watu bora atoe yaishe
Kama baba yako angemwambia mama yako atoe mimba yako leo ungekuwa hapa unaandika huu uzi? Uzembe wako mwenyewe unataka kufanya uuaji. Ulipopiga kavu ulitegemea hizo mbegu zitengeneze kitenesi au?
Kumbuka kila kiumbe anakuja na rizki yake, kutoa mimba sio suluhisho. kadri utakachojaaliwa toa kwa mama mtoto na mtoto hapo atakapozaliwa. Na ili kuepuka matatizo ya kimawazo muweke wazi huyo mzazi mwenzio aliyekuwa na mtoto tayari kuwa unatarajia mtoto mwingine.
 
Sasa msichana tangia wiki ile hakuona siku zake baadaye akagundulika kwa daktari kuwa ana mimba. Hilo ndio ninaloliombea ushauri hapa, msichana ana mimba na mim nina mtoto tayari wa nje ndio kwanza ana miezi mitatu, na sijaoa nifanyeje?

Unapoamua kudinyana na mwanamke yoyote yule rule number 1, lazima kwanza moyo wako uwe umeridhia kwa lolote litakalotokea kuwa tayari kulibeba...la sivyo usidinyane kabisa.

Rule number 2, dinyana na msichana mzuri mwenye vigezo vya kuwa mkeo.

Rule number 3, acha uzinzi kama sheria ya kwanza na pili ni ngumu kwako.
 
Ushauri:
Mwanamke akikuambia anamimba usijekushauri abortion, never ila muulize tuu "what you gonna do!?". Sasa wewe ukimwambia atoe halafu akatae then baadae awe na good life na wewe uwe choka mbaya then mbaya zaidi mamaake smsimulie mkasa mzima "hakyamungu utakojoa masiwa"
 
Mzee baba wajibika na matendo yako.
Wenzako wote hua tunawajibika na matendo yetu, hua hatuji kuanzisha nyuzi humu.

Pampers za Sleepy zinakaa 80 ni 27,000 wipes 4,500. Mahindi, ulezi, karanga nusu, nusu, robo 4,200.
Lactogen kopo 17,000, Nido 11,000.
Nguo za watoto za hadhi ya kawaida haizidi 5000 moja.
Unga wa Lishe 2,500.

Hizi ni gharama za kuja kuanzisha uzi?
mkuu kumbuka hilo furushi la pampers linakata siku tatu tuu
 
Habari!

Ninawaomba mnipe ushauri... juzi juzi nilikuwa Dodoma kama mwezi umepita... nikakutana na msichana mara ya kwanza tukatumia condoms baadaye akasema tukapime. Katika hizo process za kupima tukajikuta tushafanya kavu kavu.

Sasa msichana tangia wiki ile hakuona siku zake baadaye akagundulika kwa daktari kuwa ana mimba. Hilo ndio ninaloliombea ushauri hapa, msichana ana mimba na mim nina mtoto tayari wa nje ndio kwanza ana miezi mitatu, na sijaoa nifanyeje?

Nimemwambia aitoe hataki.... na ndio anamalizia diploma 2. Nafanyeje? Au nimpotezee tu maana hataki ushauri na mim sitaki tena mtoto wa nje ya ndoa. Dah mtihani huu.

Ushauri wenu na matusi ruksa
Hakuna mtoto wa nje hapo ni mtoto wa ndani. Subiri ulee mtoto wa ndani.
 
Mzee baba wajibika na matendo yako.
Wenzako wote hua tunawajibika na matendo yetu, hua hatuji kuanzisha nyuzi humu.

Pampers za Sleepy zinakaa 80 ni 27,000 wipes 4,500. Mahindi, ulezi, karanga nusu, nusu, robo 4,200.
Lactogen kopo 17,000, Nido 11,000.
Nguo za watoto za hadhi ya kawaida haizidi 5000 moja.
Unga wa Lishe 2,500.

Hizi ni gharama za kuja kuanzisha uzi?
 
Usikimbie majukum..tulia ulee mimba hadi mtoto! Tafuta hela mwisho wa siku ukusanye majembe yako yatakusaidia uzeeni
 
Kwanza itabidi umwambie ukweli huyo dada wa diploma kama una mtoto mwingine.......pili angalia moyo wako unampenda nani zaidi i mean ambae atakuja kuwa mke wako ndo huyo umuoe.....tatu mambo ya kutoa mimba achana nayo acha mtoto azaliwe
 
Kwanza itabidi umwambie ukweli huyo dada wa diploma kama una mtoto mwingine.......pili angalia moyo wako unampenda nani zaidi i mean ambae atakuja kuwa mke wako ndo huyo umuoe.....tatu mambo ya kutoa mimba achana nayo acha mtoto azaliwe
Nimekupata sana mkuu... anajua kuwa nina mtoto. Analifahamu vizur nadhani yeye mwenyew kafurahi kupata mimba anavyonekana maana hana hata wasiwasi kama nilionao mim
 
Hongera mkuu maana kuna watu hawalal wanawaza watapataje watoto
 
Hayo ni matokeo ya dhambi ya uzinzi hvyo yapokee kwa mikono miwili na jiandae kwa majukum
 
Nimekupata sana mkuu... anajua kuwa nina mtoto. Analifahamu vizur nadhani yeye mwenyew kafurahi kupata mimba anavyonekana maana hana hata wasiwasi kama nilionao mim
Okay.....basi acha azae wewe kama kumsaidia kumlea mtoto umsaidie tu
 
Habari!

Ninawaomba mnipe ushauri... juzi juzi nilikuwa Dodoma kama mwezi umepita... nikakutana na msichana mara ya kwanza tukatumia condoms baadaye akasema tukapime. Katika hizo process za kupima tukajikuta tushafanya kavu kavu.

Sasa msichana tangia wiki ile hakuona siku zake baadaye akagundulika kwa daktari kuwa ana mimba. Hilo ndio ninaloliombea ushauri hapa, msichana ana mimba na mim nina mtoto tayari wa nje ndio kwanza ana miezi mitatu, na sijaoa nifanyeje?

Nimemwambia aitoe hataki.... na ndio anamalizia diploma 2. Nafanyeje? Au nimpotezee tu maana hataki ushauri na mim sitaki tena mtoto wa nje ya ndoa. Dah mtihani huu.

Ushauri wenu na matusi ruksa
Hivi hizi bahati wenzetu huwa mnazipataje?

Yaani wenzio hata watoto mpaka sasahv hatuna...wewe hata kabla ya kujua hali ya afya ya mwanamke uliyekutana naye Dodoma tayari ana mimba yako......hadi raha!

Wewe ndio unafaa kuitwa dume la mbegu.
 
Hivi hizi bahati wenzetu huwa mnazipataje?

Yaani wenzio hata watoto mpaka sasahv hatuna...wewe hata kabla ya kujua hali ya afya ya mwanamke uliyekutana naye Dodoma tayari ana mimba yako......hadi raha!

Wewe ndio unafaa kuitwa dume la mbegu.
Dah yaani si tu kujua hali hata yeye mwanamke sikuwa namjua vizur... basi tu ni ngumu sana mwanamke ukikalala naye mara mbiki kwa kondomu halafu ya tatu ukaendeleza kondomu... unaona tu bora upige hata kimoja itajulikana mbele kwa mbele
 
Okay.....basi acha azae wewe kama kumsaidia kumlea mtoto umsaidie tu
Shida ndio hiyo. Nilivokuwa mdogo nilikuwa sitaki hii hali ya kuzaa nje ya ndoa kwa kuwa mzee wangu ana watoto nje, so nayaona matatizo yake maana watoto hatuelewani, hatupo wamoja. So nilitaka nikomae na huyu niliezaa naye mwanzo ndio awe mke... sasa hili nalo limekuwa balaa tupu
 
Shida ndio hiyo. Nilivokuwa mdogo nilikuwa sitaki hii hali ya kuzaa nje ya ndoa kwa kuwa mzee wangu ana watoto nje, so nayaona matatizo yake maana watoto hatuelewani, hatupo wamoja. So nilitaka nikomae na huyu niliezaa naye mwanzo ndio awe mke... sasa hili nalo limekuwa balaa tupu
Unataka kusema your family had been cursed!!!! Ondoa hizo fikra na muombe sana Mungu kila kitu kitakuwa sawa
 
Unataka kusema your family had been cursed!!!! Ondoa hizo fikra na muombe sana Mungu kila kitu kitakuwa sawa
Not real... lkn nilikuwa sina hiyo expectation... bt nadhan ni kuyaacha tu, two years two children inawezakan nilazima nipite humo
 
Back
Top Bottom