ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,577
- 44,814
Nmb sisi badoPesa ishaisha mbona
Nmb sisi badoPesa ishaisha mbona
kaka uko tamisengaa alafu kijijini nini..!!Nmb sisi bado
Mkuu niko ofisi za kanda,serikali kuu,wizara ya maji,ofisi mojawapo za mabonde mkuukaka uko tamisengaa alafu kijijini nini..!!
Ndo matumizi hayo ndugu yangu. 😅😅hela ishaishaaa...
Daah.Nasikia sikia tu Wanasema maumivuuu rafikiiii!
Ulikuwa umeahidiwa 10% nini?Hivi ule mnada wa musiba ndio uliyeyuka? 🙄
ndo utajua kuishi bila hela mwezi mzima inawezekanaaNdo matumizi hayo ndugu yangu. 😅😅
🙄🙄JamaniNahisi mama kanilipa malimbikizo, increment ya zaidi ya milioooo
Ndio hivyo🙄🙄Jamani
Kaka kishaumana duh naona kama 20000 sijui ndo included na ya julykaka uko tamisengaa alafu kijijini nini..!!
Walau una pa kuanzia. Na mie naanza kilimo20 tu
Ndo matumizi hayo ndugu
Akakope sasaNdo matumizi hayo ndugu yangu. 😅😅