Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,130
- 16,225
Nipo kikazi mkoa fulani na huwa nina kawaida ya kusafiri between towns kutokana na nature ya kazi yangu na ikibidi huwa nalala lodge/guest unapofika usiku au ninapohisi kuchoka/kupumzika.
Sasa leo nimefika lodge fulani, bahati nzuri au mbaya nikakuta bado usafi ukiendelea. Ikanibidi nisubiri usafi uishe ili nipaki vitu vyangu.
Wakati nasubiri, akaja mdada ambae ndie msimamizi wa lodge hii na kuniomba niingie kwenye kile chumba ninachotaka kufikia akidai anataka anionyeshe kitu ili kama nakijua basi nimpe ufafanuzi.
Kitu chenyewe ndio hiki..
Nikamuuliza alietoka humu ni mtu mzima au kijana?
Akajibu kwamba anazidi umri wangu na naweza kumuita baba. Kwa umri niko mid 30s.
Nikwamwambia hizi dawa zina matumizi mengi ila sana sana hutumika kutibu maradhi ya tezi dume au matatizo yanayohusiana na tezi dume, kwa mfano ukosefu wa nguvu za kiume (erectile dysfunction). Ila zina madhara makubwa kwa wenye matumizi ya muda mrefu maana hupelekea ongezeko la presha hivyo huweza kusababisha stroke, moyo kutanuka au shambulio la moyo (heart attack).
Duuh! Yule dada alibaki kushangaa tu maana kwa anavyosema ni mteja wake wa muda mrefu, na kila akitia kambi lazima apite na mali 2 hadi 3. And everytime akifanya usafi lazima akute pakiti ya hiyo dawa kwenye droo/dustbin anapoondoka..
Wazee wetu mjiangalie aisee, mambo mengine tuwaachie vijana!
Sasa leo nimefika lodge fulani, bahati nzuri au mbaya nikakuta bado usafi ukiendelea. Ikanibidi nisubiri usafi uishe ili nipaki vitu vyangu.
Wakati nasubiri, akaja mdada ambae ndie msimamizi wa lodge hii na kuniomba niingie kwenye kile chumba ninachotaka kufikia akidai anataka anionyeshe kitu ili kama nakijua basi nimpe ufafanuzi.
Kitu chenyewe ndio hiki..
Nikamuuliza alietoka humu ni mtu mzima au kijana?
Akajibu kwamba anazidi umri wangu na naweza kumuita baba. Kwa umri niko mid 30s.
Nikwamwambia hizi dawa zina matumizi mengi ila sana sana hutumika kutibu maradhi ya tezi dume au matatizo yanayohusiana na tezi dume, kwa mfano ukosefu wa nguvu za kiume (erectile dysfunction). Ila zina madhara makubwa kwa wenye matumizi ya muda mrefu maana hupelekea ongezeko la presha hivyo huweza kusababisha stroke, moyo kutanuka au shambulio la moyo (heart attack).
Duuh! Yule dada alibaki kushangaa tu maana kwa anavyosema ni mteja wake wa muda mrefu, na kila akitia kambi lazima apite na mali 2 hadi 3. And everytime akifanya usafi lazima akute pakiti ya hiyo dawa kwenye droo/dustbin anapoondoka..
Wazee wetu mjiangalie aisee, mambo mengine tuwaachie vijana!