Wazee, mambo mengine muwaachie vijana

Wazee, mambo mengine muwaachie vijana

tatizo wazee wa kiume wana libido zimebaki ila potency hawana

nadhani uzee ndo umri sahihi wa PULI.
Sasa apige show kadri ya uwezo wake, kama tako 2 ama tatu ndio uwezo wake, basi zinatosha ndio uwezo wake.... Sio kuji boost na midawa, na hapo utakuta anakunywa na energy drinks, siku hayo mavitu yakiripuka ndio unakata moto huko lodge/hotel..


Kifo cha aibu, kizembe na kujitakia...
 
Unakutana na mzee au kijana bonge na anakitambi anazifakamia energy asubuhi au kabla ya show halafu hana mazoezi,halafu sio moja anapiga tatu na wengine wanamix na Vant au Nyagi. Yote tu kuikomoa K,wakati rate ya mapigo yao ya moyo ni ndogo, so wanaulazimisha moyo.

Dawa ya haya mambo kula vizuri ( hasa vyakula vyenye zinki),lala vizuri ,kunywa maji mengi then asilimia hamsini inayo baki,fanya mazoezi hata 45dk au lisaa kwa siku 3+ kila wiki.Mbona unakuwa vizuri halafu mapenzi sio kukomoana,kwani huwezi kuikomoa K.
Ndio maana wanakufa vifo vya aibu huko nyumba za wageni kumbe ni sababu ya hizi mambo
 
Nipo kikazi mkoa fulani na huwa nina kawaida ya kusafiri between towns kutokana na nature ya kazi yangu na ikibidi huwa nalala lodge/guest unapofika usiku au ninapohisi kuchoka/kupumzika.

Sasa leo nimefika lodge fulani, bahati nzuri au mbaya nikakuta bado usafi ukiendelea. Ikanibidi nisubiri usafi uishe ili nipaki vitu vyangu.

Wakati nasubiri, akaja mdada ambae ndie msimamizi wa lodge hii na kuniomba niingie kwenye kile chumba ninachotaka kufikia akidai anataka anionyeshe kitu ili kama nakijua basi nimpe ufafanuzi.

Kitu chenyewe ndio hiki..
View attachment 3191967


Nikamuuliza alietoka humu ni mtu mzima au kijana?
Akajibu kwamba anazidi umri wangu na naweza kumuita baba. Kwa umri niko mid 30s.

Nikwamwambia hizi dawa zina matumizi mengi ila sana sana hutumika kutibu maradhi ya tezi dume au matatizo yanayohusiana na tezi dume, kwa mfano ukosefu wa nguvu za kiume (erectile dysfunction). Ila zina madhara makubwa kwa wenye matumizi ya muda mrefu maana hupelekea ongezeko la presha hivyo huweza kusababisha stroke, moyo kutanuka au shambulio la moyo (heart attack).

Duuh! Yule dada alibaki kushangaa tu maana kwa anavyosema ni mteja wake wa muda mrefu, na kila akitia kambi lazima apite na mali 2 hadi 3. And everytime akifanya usafi lazima akute pakiti ya hiyo dawa kwenye droo/dustbin anapoondoka..

Wazee wetu mjiangalie aisee, mambo mengine tuwaachie vijana!
Its true,sexual drive inhencement are dangerous for your heart

ila for each is own,tusipende kufatilia maisha binafsi ya watu!

huu uzi ni totally unnecessary kabisa,ila who cares!
 
Dada kakutana na Mathayo,badala amshughulikie,akaanza kumpa mahubiri.
Unatakiwa umsome mwanamke anataka nini.We unadhadhani huyo mwanamke haijui hiyo?
Vijana wenyewe kuna kitu kinaitwa MKONGO kinatumika sana,mahanga yapo kwa wazee hadi vijana.Uwe unang'amua codes za wadada mkuu.
 
“Njoi”
Wangekamilisha tu iwe “Injoi” kusadifu yaliyomo.

Ama hawainjoi?
 
Unakutana na mzee au kijana bonge na anakitambi anazifakamia energy asubuhi au kabla ya show halafu hana mazoezi,halafu sio moja anapiga tatu na wengine wanamix na Vant au Nyagi. Yote tu kuikomoa K,wakati rate ya mapigo yao ya moyo ni ndogo, so wanaulazimisha moyo.

Dawa ya haya mambo kula vizuri ( hasa vyakula vyenye zinki),lala vizuri ,kunywa maji mengi then asilimia hamsini inayo baki,fanya mazoezi hata 45dk au lisaa kwa siku 3+ kila wiki.Mbona unakuwa vizuri halafu mapenzi sio kukomoana,kwani huwezi kuikomoa K.
Umetoa ushauri wa bure.
 
Hiyo dawa originally ilikuwa kwa ajili ya kushusha presha (ina relax mishipa ya damu).. accidentally ikawa inatibu uhanithi pia..
Sasa mtu presha yako ipo normal au karibia normal au ipo chini halafu unakunywa hiyo, presha itashushwa na unaweza ukadedi
 
We jamaa acha ujuaji unauhakika gani kama mwenzako huyo babu hajapewa na daktari wake huko kwenye clinic zake za matibabu.Mzee anayeshenyenta kila wiki sio mwenzako huyo🤗 achana na wastaafu wanamachungu ya kulitumikia taifa.

Alafu wewe na uelewa wako hata kugoogle umeshindwa hizo dawa kwa akili zako unadanganya watu zinatibu TEZI DUME.

Huyo demu alikuwa anataka UKAICHAPE,tatizo huwa hauhudhurii vikao,mwanaume unatakiwa uwe sharp KUDECODE,ujumbe ulioencripted.Wewe na uzwazwa wako kesho atakuja kukupigia hodi akuambie tena kuna chumba ameona sexual lube oil😄😄😄 na bado utaendelea kutoa macho na kuja kuanzisha sredi huku JF, changamka kijana SHENYENTA huyo muhudumu alafu punguza kuchekacheka hovyo utaibiwa.

Pia punguza ujuaji,UMBEA na fanya maisha yako! Yaani kwa akili za kawaida wewe ndo kwanza umefika inakuwaje muhudumu akuzoe kiasi hizo mpaka kupata guts za kukuuliza vitu vinavyohusu PRIVACY ZA WATEJA WENGINE!!!

Mtoto wa kiume acha umbea,uzandiki,uchawi na usokolokwinyo, siku nyingine wewe na huyo demu wako MUHUDUMU wa gesti mtakuwa na mashtaka ya kujibu!!!
 
Wazee wenyewe ndio kama lile lizee linalojiita babu wa tiktok
 
Nipo kikazi mkoa fulani na huwa nina kawaida ya kusafiri between towns kutokana na nature ya kazi yangu na ikibidi huwa nalala lodge/guest unapofika usiku au ninapohisi kuchoka/kupumzika.

Sasa leo nimefika lodge fulani, bahati nzuri au mbaya nikakuta bado usafi ukiendelea. Ikanibidi nisubiri usafi uishe ili nipaki vitu vyangu.

Wakati nasubiri, akaja mdada ambae ndie msimamizi wa lodge hii na kuniomba niingie kwenye kile chumba ninachotaka kufikia akidai anataka anionyeshe kitu ili kama nakijua basi nimpe ufafanuzi.

Kitu chenyewe ndio hiki..
View attachment 3191967


Nikamuuliza alietoka humu ni mtu mzima au kijana?
Akajibu kwamba anazidi umri wangu na naweza kumuita baba. Kwa umri niko mid 30s.

Nikwamwambia hizi dawa zina matumizi mengi ila sana sana hutumika kutibu maradhi ya tezi dume au matatizo yanayohusiana na tezi dume, kwa mfano ukosefu wa nguvu za kiume (erectile dysfunction). Ila zina madhara makubwa kwa wenye matumizi ya muda mrefu maana hupelekea ongezeko la presha hivyo huweza kusababisha stroke, moyo kutanuka au shambulio la moyo (heart attack).

Duuh! Yule dada alibaki kushangaa tu maana kwa anavyosema ni mteja wake wa muda mrefu, na kila akitia kambi lazima apite na mali 2 hadi 3. And everytime akifanya usafi lazima akute pakiti ya hiyo dawa kwenye droo/dustbin anapoondoka..

Wazee wetu mjiangalie aisee, mambo mengine tuwaachie vijana!
Hizo dawa pia maalum kwa wazee na wagonjwa wa kisukari,cha ajabu vijana ndio wamekuwa watumiaji wakubwa
 
pakti imesomeka NJOI hutaki wazee tuiinjoi
Sema hilo soksi la ZANA ni kama miaka ile kidumu na mfagio unavaa soksi za pundamilia
 
Back
Top Bottom