Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 624
- 2,772
Nadhan moja majukumu ya wazazi yanayoendelea kupotea ni wazazi kuwatafutia watotot wao wachumba wa kuoa au kuwaoa, binafsi nadhan utaratibu huu urudishwe tena upewe nguvu zaidi hasa kwa watoto wa kike.
Mtu yoyote anaefanya kazi katika ofisi alioko msichana kuanzia miaka 24 na kuendelea na hajaolewa atakwambia au anajua ni jinsi gani msichana huyo yuko desperate, amesoma, ana kazi, na pengine amepanga nyumba, lakini ikifika usiku kitanda kinakua kikubwa maana hawezi kukabiliana na lonliness, anatamani awepo mtu pembeni yake.
Hali hii inawatesa sana na inafanya wahangaike huku wakiweka mitego mbali mbali wengine huangukia hata kwa waume za watu. Singungumzii wale wadada wachache walioamua kutumia miili yao vibaya, nazungumzia wadada wa kawaida wanaojiheshimu ila maumbile yanakua wameshawazidi nguvu.
Ni muda sasa wazazi wachukue jukumu la kuwatafutia watoto wao wenza wa kuishi nao na kuunganisha familia, pia wanapowasomesha wasiwaambie wasome ile wawe na hela ili wanaume wasiwasumbue ila wawasomeshe ili waje kuwasaidia wanaume zao katika majukumu ya kifamilia pale mwanaume anapokwama
Mtu yoyote anaefanya kazi katika ofisi alioko msichana kuanzia miaka 24 na kuendelea na hajaolewa atakwambia au anajua ni jinsi gani msichana huyo yuko desperate, amesoma, ana kazi, na pengine amepanga nyumba, lakini ikifika usiku kitanda kinakua kikubwa maana hawezi kukabiliana na lonliness, anatamani awepo mtu pembeni yake.
Hali hii inawatesa sana na inafanya wahangaike huku wakiweka mitego mbali mbali wengine huangukia hata kwa waume za watu. Singungumzii wale wadada wachache walioamua kutumia miili yao vibaya, nazungumzia wadada wa kawaida wanaojiheshimu ila maumbile yanakua wameshawazidi nguvu.
Ni muda sasa wazazi wachukue jukumu la kuwatafutia watoto wao wenza wa kuishi nao na kuunganisha familia, pia wanapowasomesha wasiwaambie wasome ile wawe na hela ili wanaume wasiwasumbue ila wawasomeshe ili waje kuwasaidia wanaume zao katika majukumu ya kifamilia pale mwanaume anapokwama