Wazazi wananichanganya

Wazazi wananichanganya

Nipo mji mwingne na wazai.ni lazima hela ita tumwa kwa baba.Mungu amsaidie asiitumie kwenye shida nyingne. Lakin pia namuamn hato ila..Kaz ni mm kumuelewesha mama akaelewa..asante mkuu
Baasi kama unamwamini we fanya mambo hayo najua mama utammudu tuu usijali mwenyenzi mungu akutangulie kila hatua na akazifanye ziwe nyepesi kuliko uwazavyo na wawazavyo.
 
Usiongee chochote maliza kujenga kwa babu baadae endelea na kuwasaidia wazazi kama mwanzo. Sikishauri kabisa kujibizana nao kwani; Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heri duniani.
 
Karibu sana. Huenda ukapata ukinzani kutoka kwake zaidi lakini msimamo wako ndio utakaomponya na yeye. Na baadae utaona akifurahia alichokua anapinga. Jitahidi kama ulikua unampa kitu labda kila mwezi uendelee kumpa ili asijeanza kulalamika.

Unapaswa uwe na msimamo wa kusimamia mawazo yako mema bila kuyumbishwa na baada ya muda watakufahamu hivyo na watakuheshimu hivyo. Ila ukiyumba tu kidogo tegemea kuyumbishwa kila mara. Mama zetu ni wema sana lakini SIO kila ushauri wao niwa kuzingatia. Wao pia ni wanadamu na kuna wakati mwingine ushauri wao huwa ni sio mzuri au kulipa visasi vyao au wa kuwaoneshea wenzao n.k n.k

Tuwaheshimu sana na kuwapenda wazazi wetu ila tupime pia ushauri wao kwa HAKI. Pale tunapoona hawajashauri vzr ni wajibu wetu kuwafundisha kwa VITENDO ama kuongea nao lkn kwa hekima saana.


Barikiwa sana mpendwa..sanaa..maneno yako yamenichoma na kuniponya.Mama kinachomtesa ni hicho jinsi walivyo mtreat hapo zaman..Lakn naiman ntaenda kuweka mbegu mpya na itamea
 
"We make a living by what we get, but we make a life by what we give." - Winston Churchill
Kutoa kwema sio kwenye mabaki ulionayo, bali kutoa katika kile unachokihitaji sana wewe kwa wakati huo. Kutoa ambao hakukuumi, hakuugusi moyo wako, sio kutoa bali ni kutupa.

Japo natambua tunapaswa kutoa kwa hekima na kulinga na uwezo wetu. Kutoa/kusaidia ni sehemu muhimu sana ya maisha.

Wewe una nyumba ngapi Kwanzaa tuanzie hapo?
 
Karibu sana. Huenda ukapata ukinzani kutoka kwake zaidi lakini msimamo wako ndio utakaomponya na yeye. Na baadae utaona akifurahia alichokua anapinga. Jitahidi kama ulikua unampa kitu labda kila mwezi uendelee kumpa ili asijeanza kulalamika.

Unapaswa uwe na msimamo wa kusimamia mawazo yako mema bila kuyumbishwa na baada ya muda watakufahamu hivyo na watakuheshimu hivyo. Ila ukiyumba tu kidogo tegemea kuyumbishwa kila mara. Mama zetu ni wema sana lakini SIO kila ushauri wao niwa kuzingatia. Wao pia ni wanadamu na kuna wakati mwingine ushauri wao huwa ni sio mzuri au kulipa visasi vyao au wa kuwaoneshea wenzao n.k n.k

Tuwaheshimu sana na kuwapenda wazazi wetu ila tupime pia ushauri wao kwa HAKI. Pale tunapoona hawajashauri vzr ni wajibu wetu kuwafundisha kwa VITENDO ama kuongea nao lkn kwa hekima saana.
Sina la kusema.Ila hujui tu vile nimepata wepesi moyon kwa hili jambo..yaan niliumia had mwili kuwaka moto nikijiuliza ni nini hiki.kumbe ndo ukubwa.asante sana Mkuu..na kiukweli hii ndo itanipa nafasi ya kutambulika kua mm ni nani ktk familia.Kua LANGO ni kazi sana
 
Bold, We share the same.
Kila la heri.
Barikiwa.

Sina la kusema.Ila hujui tu vile nimepata wepesi moyon kwa hili jambo..yaan niliumia had mwili kuwaka moto nikijiuliza ni nini hiki.kumbe ndo ukubwa.asante sana Mkuu..na kiukweli hii ndo itanipa nafasi ya kutambulika kua mm ni nani ktk familia.Kua LANGO ni kazi sana
 
Inaonesha mama ana bifu na ndugu wa mume hakuna la ziada. Ila tu ww ni mtoto wa wote na amekubali kuisha na baba yako mpk ss. Kaa nao wote wawili. Waeleze plan yako then omba baraka zao. Im sure mama hawezi payuka hayo maneno mbele ya baba
 
Wamaama wanapenda lawama..wee kuwa kuwa Fanya yako bla ya kuteka sikio sehemu!kuwa na msimamo.uyo mama yako anaiga mambo ya dot.com!?
 
mamako aache wivu siku akisikia unamsaidia baba mkwe wako si atasaha chupa alambe! usimjibu vibaya msaidie babu yako mwaya
 
Sometimes sio kila kitu mzazi mwenza ajue unachotaka fanya, utasababisha kinyongo juu yao!
Wewe jipange mtafutie mdingi 2~5M mwambie akarekebishe kwao!
Mama akija kujua unakuwa unamrekebishia kwake, maisha yanasonga
 
Nakupongeza sana,una akili sana,anza kwa mama halafu maliza kwa baba,mama akilalamika mwambie mungu anasamehe na sisi tuwasamehe pia.
 
yani hapa ndipo huwa nachoka na akili za akina mama zetu, 99% ya akina mama wa kiafrika wanatabia hizo
 
Hakugombana na babu mwenyewe kesha fariki ..ila tu sipendi ile tabia mnaenda kijijin na magar yenu afu nyumba mbaya..ila ye haelewi...anataka wanawe tufanye vya fmly tu na siyo ukoo
UBINAFI mama zetu wengi wao n wabinafsi Fanya hivi : we endlea na ujenzi kimyakimya kikubwa kuwa pa1 na Baba kwa kila hatua Mama akiwa anakuja juu we usimjibu
Nakuhakikishia ukijenga hiyo Nyumba ya Babu Yako Mungu atakubariki maradufu na kumukumbu hyo haitakuja kufutika ktk Ukoo huo na pia hutakuja kusahaulika kamwe kwa hyo koo
Endelea na ujenzi mwache Mama kwa sasa aendlee na kelele ila atapoa
HONGERA KWA HAYO MALENGO MALENGO MAZURI
 
Back
Top Bottom