Wazazi / walezi wako unawasalimu / uliwasalimu kwa kiswahili ama kilugha ?

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Familia nyingi huwa zina tamaduni zake katika mambo mbali mbali ikiwemo matumizi ya lugha za kikabila (hasa alikotokea baba)

Kwenu kwenye kusalimia wazazi / walezi ni lugha ipi ilitumika ?

Mzee ni wa kanda ya ziwa, Binafsi sijawahi kumsalimu mzazi kwa salamu ya "Shikamoo" ni mwendo wa kilugha tangu najua kuongea
 
Kwa sehemu kubwa tunatumia kiswahili japo Kuna mda unaongeleshwa tu ukidaka maneno matatu bas ushaelewa
 
Back
Top Bottom