Wazazi wa rafiki yangu, wanataka mke wa kwanza aoe Mkurya

Barriz

Member
Nov 29, 2015
21
3
Kuna rafiki yangu ni mkurya, kaja analalama saaana ana mchumba anataka kumuoa. Sasa shida inakuja huyo binti yeye sio mkurya, sasa wazazi wa kijana wamemkomalia jamaaa atafute mchumba wa kikurya aoe maaana ni mke wa kwanza. Afu kama anataka kuoa mke wa pili ruksa kuoa kabila yeyote. Sasa mimi nimeshndwa kuelewa concept hili limekaaje? Hivi dunia ya leo kuna ubaguzi wa namna hii kwa hawa ndugu zetu?
 
Wacha mura, hizo ni mira na desituri zetu, wewe unataka kutuingiria mambo yetu ya razima. Hucho kijana razima aoe huko ukuryani. Teh teh!
 
Wachumba wengi wasiotoka kanda yetu ya Tarime-Rorya wanapenda sana ile 'mi naumwa' when it comes to work..nani anataka hiyo?
 
Kwa sababu wazazi wanataka kijana aoe mke na sio nyie mashangingi wa mjini na mke bora atatoka Tarime
 
Sio wote wapo hivyo,ila huyo atakayeolewa asubir wake wenzake sijui kwann wakina mwita wapo hivi hawanaga mke mmoja
 
Muraaaa Ghati,Bhoke,Rhobi,Masisi,Chagwa tata muraaa rasima kwansa uoe nyumbani bhana iri ireeee mariiii iwepo pareeeeeeee.
 
Back
Top Bottom