Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Ukiwa kama mzazi unaweza kusupport kazi kama hii na kumpa mahitaji yote atakayohitaji mwanao ili kutimiza malengo yake?
Mafala sana hao..wanachambua kabisa kama soka wanamwambia hapa ulipwaya mwananguwanaangalia halafu wanatathmini daahh
Ongeza kiuno,nyonya hiviMafala sana hao..wanachambua kabisa kama soka wanamwambia hapa ulipwaya mwanangu
Kabisa lakin umevuta taswira gani hapo?Hizi mambo za wazungu
Wazungu wana mambo ya ajabu ajabu sana sometimeswanaangalia halafu wanatathmini daahh
Hahaha aisee,,wazungu watu wa ovyo sanaOngeza kiuno,nyonya hivi
Ni jambo lisilowezekana aseeeeKabisa lakin umevuta taswira gani hapo?
Yani b mkubwa anakuchek na kukosoa performance yako
Wao wanaonaga poa tuWazungu wana mambo ya ajabu ajabu sana sometimes
yaani daahWazungu wana mambo ya ajabu ajabu sana sometimes
Ni shidayaani daah
Mambo mengine haya mtihaniNi shida
Yaani wazungu baana!Wao wanaonaga poa tu
SaaaanaMambo mengine haya mtihani
Kuna member mmoja alihadithia humu kuwa alikuwa ughaibuni huko siku kakubaliana na binti wa kizungu wakakulane, bas kaenda ukweni kufika pale baada ya salamu binti kamualika chumbani kwake, wamebambiana bambiana huko hadi wakashikwa na mshawasha wa kuliamsha jamaa akawa anahofia wazazi wa binti wapo sitting room itakuwa sio njema, binti kamhakikishia hawana shida bas wakaliamsha pale sasa binti akawa anapiga mayowe ya kunogewa ile ile.Mambo mengine haya mtihani
Haha kiafrica huyo jamaa angerudi na jeraha kubwa la pangaKuna member mmoja alihadithia humu kuwa alikuwa ughaibuni huko siku kakubaliana na binti wa kizungu wakakulane, bas kaenda ukweni kufika pale baada ya salamu binti kamualika chumbani kwake, wamebambiana bambiana huko hadi wakashikwa na mshawasha wa kuliamsha jamaa akawa anahofia wazazi wa binti wapo sitting room itakuwa sio njema, binti kamhakikishia hawana shida bas wakaliamsha pale sasa binti akawa anapiga mayowe ya kunogewa ile ile.
Walipomaliza ile wanatoka wakawakuta baba na mama sitting room mama anacheka balaa, baba kamuuliza binti yake vp ilikuwa tamu saana eti!? maana sio kwa miguno hiyo- binti kamwambia baba yake daah yaan baba sijawahi kukunwa utamu kama jamaa alivonikuna leo! wakabaki wanacheka na baba kampongeza jamaa wakati huo jamaa aibu imemshika hatari
Kiafrika hilo halipo hata kwa mtutu wa bunduki
Mbona hata hapa Tz kuna watu wanafanya ivo mkioana siku ya kwanza mnaingia na wazee mnalisakata libeneke mbele yao na maelezo juu mnapewaKabisa lakin umevuta taswira gani hapo?
Yani b mkubwa anakuchek na kukosoa performance yako