Wazazi mbaroni kwa kuwarekodi watoto wao video za ngono

Wazazi mbaroni kwa kuwarekodi watoto wao video za ngono

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Wanandoa Regina Munyoki (41) na Mumewe Isaiah Gura (52) wanashikiliwa na Polisi nchini Kenya wakidaiwa kuwatumikisha watoto wao Kingono, kwa kuwatumia katika kuzalisha maudhui ya Kingono na baadaye kuyauza mtandaoni.

Kulingana na Ofisi ya Mwendesha Mashtaka nchini Kenya, amebainisha kuwa wanandoa hao raia wa Kenya walikamatwa Mjini Mombasa, ikidaiwa kuwa watoto wao watatu, mmoja akiwa na miaka 13, mwingine 7 na wa miaka minne (wasichana wawili na Mvulana mmoja) wamekuwa wakishirikishwa katika utengenezaji wa maudhui hayo, na hiyo imekuwa sehemu ya kipato kwa wanandoa hao wawili.

Katika hatua nyingine Mtuhumiwa Gura anashtakiwa pia kwa makosa ya kumuingilia Binti yame wa umri wa miaka 13, madai ambayo imeelezwa kuwa amekuwa akifanya hivyo tangu binti yake akiwa na miaka 11. Kulingana na Ofisi ya Mwendesha mashtaka, Bw. Gura anasubiri uamuzi wa dhamana yake hapo Kesho huku Mkewe akipata dhamana baada ya kukidhi masharti.

Screenshot 2025-07-14 205731.png
 
Wanandoa Regina Munyoki (41) na Mumewe Isaiah Gura (52) wanashikiliwa na Polisi nchini Kenya wakidaiwa kuwatumikisha watoto wao Kingono, kwa kuwatumia katika kuzalisha maudhui ya Kingono na baadaye kuyauza mtandaoni.

Kulingana na Ofisi ya Mwendesha Mashtaka nchini Kenya, amebainisha kuwa wanandoa hao raia wa Kenya walikamatwa Mjini Mombasa, ikidaiwa kuwa watoto wao watatu, mmoja akiwa na miaka 13, mwingine 7 na wa miaka minne (wasichana wawili na Mvulana mmoja) wamekuwa wakishirikishwa katika utengenezaji wa maudhui hayo, na hiyo imekuwa sehemu ya kipato kwa wanandoa hao wawili.

Katika hatua nyingine Mtuhumiwa Gura anashtakiwa pia kwa makosa ya kumuingilia Binti yame wa umri wa miaka 13, madai ambayo imeelezwa kuwa amekuwa akifanya hivyo tangu binti yake akiwa na miaka 11. Kulingana na Ofisi ya Mwendesha mashtaka, Bw. Gura anasubiri uamuzi wa dhamana yake hapo Kesho huku Mkewe akipata dhamana baada ya kukidhi masharti.

View attachment 3405984
hii ni nayo ni ajabu
 
Nairobi na Mombasa zinaweza kuwa makao makuu ya wabakaji kutoka ulaya na USA.Huko Mombasa wazee wa kizungu kufira visichana vyenye miaka chini ya kumi na tano kuuzwa na wazazi wao ni kawaida,Serikali inapumbaza macho kwa kigezo cha utalii.
 
Me toka nianze kuwaona wakenya kwenye stripchat nikajua hawa wenzetu ni next level
 
Mambo ya ONLYFANS,
Hii michezo IPO Sana Hadi bongo
 
Akili za Wakenya wanazijua wenyewe
Alafu Kuna watanzania bila haibu wanasema wakenya wametuzidi kiakili na Kila kitu kisa kuandamana na kuiba mali za watu na mambo ya kishetani kama haya!!

Stupid.
 
Back
Top Bottom