Wazazi katika hali mbili tofauti.

Wazazi katika hali mbili tofauti.

Tatizo ni moja tuu...Kimwe hajafundishwa kuwa yeye ni mwanaume na anatakiwa ajiunge na mwanaume waenzake kuongea akina baba Jack ...baba yake na yeye mwenyewe ...Mwanaume ndo mwamuzi awaache akina mama Kimwe na Mama Jack wagombane watachoka ...Jack hatakiwi kuongea yeye ni victim

carnte himself
Asante sana. Ngoja nmshauri hili rafiki yangu
 
hapo wazazi wakiume waongee na wake zao tu naamini hakuna linaloshindikana.
Wazazi wa kiume wakiongea na wake zao wanakubali,lakini wamama wakikutana ndio shida inaanzia hapo
 
Pole sana kwa Jacky kwa kipindi anachopitia hapo kikubwa ni hao wa mama kupatanishwa kila kitu kitaenda sawa watumie watu wenye busara wawakalishe chini waambiwe watoto ndio wanawahunganisha nyie
 
Pole sana kwa Jacky kwa kipindi anachopitia hapo kikubwa ni hao wa mama kupatanishwa kila kitu kitaenda sawa watumie watu wenye busara wawakalishe chini waambiwe watoto ndio wanawahunganisha nyie
Hayo yalifanyika,lakini wanapokutana wanaleteana madharau mpaka wanapigana. Sasa kila mama hataki kumsikia mtoto wake akiongelea hiyo ndoa na mwenzie.
 
Back
Top Bottom