Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,001
- 9,867
Vipi, upande wa visiwani Zanzibar hakuna watanganyika?Bora wapewe tu hata leo tubaki na Tanzania yeti,waishi kwa permit nchini.
Wapo wachache sanaVipi, upande wa visiwani Zanzibar hakuna watanganyika?
Nao wataishi kwa permit tu,mbona mpaka tumeoa hukoo?Vipi, upande wa visiwani Zanzibar hakuna watanganyika?
Hakuna mtanzania wa maana aende akaishi Zanzibar.. Washamba nyieVipi, upande wa visiwani Zanzibar hakuna watanganyika?
Sema Tanganyika yetu na sio Tanzania tenaBora wapewe tu hata leo tubaki na Tanzania yetu,waishi kwa permit nchini.
Bora wasepe.. Wanajiona sana hawa. Ka nchi kenyewe km Wilaya ya chunya. Tokeni mtuachia nchi yetu
Sisi tutabaki na Tanzania wao watabaki na Zanzibar, basi hatuezi badili kitu, wao waende tuSema Tanganyika yetu na sio Tanzania tena
Hilo halina mjadala unakuwa na ndugu alafu anakuwekea guu la shingo tuacheni tupumue,mnaogopa kuchukuwa zile 10km za ukanda wa pwani,maana mnajua kisheria hamtoki. Aafu saivi yupo Samia da tukiikosa chansi hii itabidi tusubirie mwengine akate roho.
Nyumbani ni Nyumbani tu!Why all of these now!