Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Wazanzibar ni Kama Popo si ndege si Wanyama
1 Serikali Tatu
Haili suala alilizungumzia Lissu (Mtanganyika) lakini Chama Cha Jussa (CUF) Kwa Kushirikiana na Chama cha Sitta(CCM) wakamsulubisha Lissu hata kufikia Kuitaka SMZ irudishe Michnago ya CDM kwa Wahanga wa Meli ya MV Spice Highlanders.
2. Muungano
Lissu katika Hotuba yake ya kambi Rasmi ya Upinzania alipendekeza Kwamba Ni bora Watanzania (Tanganyika na Zanzibar) waulizwe kama wanauhitaji Muungano na kama wanauhitaji Muungano ni wa aina Gani. Wabunge wa Chama Cha Jussa (CUF) wakapendekeza yafanyike Maandamano Zanzibar ya Kumlaani Lissu na CDM. Nilitegemea kwamba Wataitisha Maandamano ya Kumpongeza Mtanganyika Lissu kwa kwa Kuunga Mkono matakwa yao lakini wapi.
3. Katika Mpya
Muswada wa kuundwa kwa tume ya Katiba mpya umesema kwamba "Ni Marufuku Kujadili Muungano katika kipindi cha kutoa Mapendekezo ya Katika Mpya" Wabunge wa Chama cha Jussa (CUF) wakishirikiana na CCM wakajadili Mpiasho halafu wakapitisha Muswada ule kwa Mbwembwe na Baada ya Wiki Moja eti wakaenda Ikulu Kumuona JK kujadilia Mapungufu ya Muswada.
Kama si Upopo ni nini huu?
1 Serikali Tatu
Haili suala alilizungumzia Lissu (Mtanganyika) lakini Chama Cha Jussa (CUF) Kwa Kushirikiana na Chama cha Sitta(CCM) wakamsulubisha Lissu hata kufikia Kuitaka SMZ irudishe Michnago ya CDM kwa Wahanga wa Meli ya MV Spice Highlanders.
2. Muungano
Lissu katika Hotuba yake ya kambi Rasmi ya Upinzania alipendekeza Kwamba Ni bora Watanzania (Tanganyika na Zanzibar) waulizwe kama wanauhitaji Muungano na kama wanauhitaji Muungano ni wa aina Gani. Wabunge wa Chama Cha Jussa (CUF) wakapendekeza yafanyike Maandamano Zanzibar ya Kumlaani Lissu na CDM. Nilitegemea kwamba Wataitisha Maandamano ya Kumpongeza Mtanganyika Lissu kwa kwa Kuunga Mkono matakwa yao lakini wapi.
3. Katika Mpya
Muswada wa kuundwa kwa tume ya Katiba mpya umesema kwamba "Ni Marufuku Kujadili Muungano katika kipindi cha kutoa Mapendekezo ya Katika Mpya" Wabunge wa Chama cha Jussa (CUF) wakishirikiana na CCM wakajadili Mpiasho halafu wakapitisha Muswada ule kwa Mbwembwe na Baada ya Wiki Moja eti wakaenda Ikulu Kumuona JK kujadilia Mapungufu ya Muswada.
Kama si Upopo ni nini huu?