yusufummaka
Member
- Apr 7, 2012
- 30
- 20
Wako wanzanzibar ambao mafanikio waliyonayo leo yanatokana ama yalitokana na uwepo wa muungano huu. Chaajabu, sauti zinazosikika ni za wale ambao wanasema muungano haufai na hauna manufaa kabisa kwa Wazanzibar. Walionufaika nao mbona hawasikiki?