Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 323
Wanajukwaa hili la Siasa, na wale Great Thinkers naomba kufahamishwa huu ukoo wa Wazanaki kule Musoma umetoka wapi na historia yao katika mapambano ya kupinga ukoloni Tanganyika.Tunajua walikuwepo Wangoni, Wahehe, Wasukuma nk hawa Wazanaki historia yao ikoje?