Wayne Rooney is the Best Striker in FA!

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
4,526
1,529
I have to admit, even though I am a pure blue, but Wayne the train Rooney is phenomenon!


PS.
Invisible my fellow Blue usifute hii thread bwana!
 
I have to admit, even though I am a pure blue, but Wayne the train Rooney is phenomenon!


PS.
Invisible my fellow Blue usifute hii thread bwana!

Unampima kwa kufunga magoli mengi au quality ya magoli anayofunga?
 
Wacha,

Achana na Drogba, Tevez au Fibreglass, ni both idadi na quality.

Mfano kuna mechi moja kama wiki mbili au tatu zilizopita, mpira ulikuwa langoni mwa Manu, lakini ukahamishwa akatimka katikati ya uwanja na akisindikizwa na mabeki wawili, kwa slow motion vile zile mbio akazipunguza akifanyia timing mpira na kipa na chubwi akaingiza kitu kimiani.

Nakuambia nilivunja bilauri iliyokuwa mezani kwa mdadi!
 
Wacha,

Achana na Drogba, Tevez au Fibreglass, ni both idadi na quality.

Mfano kuna mechi moja kama wiki mbili au tatu zilizopita, mpira ulikuwa langoni mwa Manu, lakini ukahamishwa akatimka katikati ya uwanja na akisindikizwa na mabeki wawili, kwa slow motion vile zile mbio akazipunguza akifanyia timing mpira na kipa na chubwi akaingiza kitu kimiani.

Nakuambia nilivunja bilauri iliyokuwa mezani kwa mdadi!
He is alright...but not all that (si kihiivyo). Hawezi kuwekwa kwenye bracket moja na akina Christiano Ronaldo au Lionel Messi au even a fit Fernando Torres. Hawa wako kwenye bracket A. Rooney anaweza kuwekwa kwenye category B yenye Drogba, Tevez, David Villa, etc. Ili Rooney aweze ku-upgrade kuingia kwenye group A inabidi a-mantain consintent performance for at least a season and a half.
 
jamani kila striker ana skills zake - so you can'nt say Rooney is the best striker - best for what? kufunga, ku -create chances au kuhamasisha timu ishinde?

and you cant compare - Drobga, Rooney, Teves, Torres, Adebayor, Anelka, Saha nk, kila mmoja ana skills zake.

kwa afano huwezi Compare Ronaldo na Messi kila mmoja na skills zake na namna anavyochangia ushindi katika timu yake.

Kwangu mimi sikubaliani kwamba Rooney ni complete striker England - No. Unless nipewe zigezo vingine zaidi alivyonavyo kulingalisha ha hao wengine niliowataja.
 
jamani kila striker ana skills zake - so you can'nt say Rooney is the best striker - best for what? kufunga, ku -create chances au kuhamasisha timu ishinde?

and you cant compare - Drobga, Rooney, Teves, Torres, Adebayor, Anelka, Saha nk, kila mmoja ana skills zake.

kwa afano huwezi Compare Ronaldo na Messi kila mmoja na skills zake na namna anavyochangia ushindi katika timu yake.

Kwangu mimi sikubaliani kwamba Rooney ni complete striker England - No. Unless nipewe zigezo vingine zaidi alivyonavyo kulingalisha ha hao wengine niliowataja.
jamani kila striker ana skills zake, nakubaliana na hiyii statement kwa asilimia mia moja.
Rooney anamajukumu yake Uwanjani ambayo hata Messi hana, kama unamwangalia Rooney , unamtazama kama mshambuliaji anaetamba uwanja wote, mbele , nyuma , kushoto na kulia, anakaba, anapokonya mipira, anaweza kufunga.
bado Rooney anaquality ambazo hata hao kina Teves hawana, ni waaina ya pekee.
ni wakati wake kutamba, ila yuko juu siku nyingi
 
No comment about Rooney,Is a supetr star and real an inventor as well innovator.Unajua huyu jamaa hapo awali alikuwa hafanyi vitu vizuri na kikubwa kilichomjenga ni nidhamu,kama huna discpline kama kina chuji au boban usitegemee kama utakuwa striker mzuri maana unaona wewe ni bora kuliko mwalimu wako (coach),bora kuliko wachezaji wenzako na hat nidhamu ya uwanjani ukikatwa kidogo ngumi mkononi sasa yote hayo ya hasira Rooney kayaacha na sasa anafanya vitu ambavyo huwezi amini maana kila mechi anacheka na nyavu na magoli muhimu na ni ya akili,angalia na west ham,AC Milan na hata alilofunga kwa Aston Villa na lile lililogonga mwamba ilikuwa chuma kile hakika jamaa anatisha sio best striker FA tu ni world wide.kiboko asiyetaka kama nampotezea.RED devils kiboko ,hongera mashabiki wenzangu wote wa Man yaani jamaa huyu na Valencia ndio usiseme maana pair inatisha ,
 
No comment about Rooney,Is a supetr star and real an inventor as well innovator.Unajua huyu jamaa hapo awali alikuwa hafanyi vitu vizuri na kikubwa kilichomjenga ni nidhamu,kama huna discpline kama kina chuji au boban usitegemee kama utakuwa striker mzuri maana unaona wewe ni bora kuliko mwalimu wako (coach),bora kuliko wachezaji wenzako na hat nidhamu ya uwanjani ukikatwa kidogo ngumi mkononi sasa yote hayo ya hasira Rooney kayaacha na sasa anafanya vitu ambavyo huwezi amini maana kila mechi anacheka na nyavu na magoli muhimu na ni ya akili,angalia na west ham,AC Milan na hata alilofunga kwa Aston Villa na lile lililogonga mwamba ilikuwa chuma kile hakika jamaa anatisha sio best striker FA tu ni world wide.kiboko asiyetaka kama nampotezea.RED devils kiboko ,hongera mashabiki wenzangu wote wa Man yaani jamaa huyu na Valencia ndio usiseme maana pair inatisha ,

New role ndio imempa hayo mafanikio, nidhamu alikuwa nayo ila uwepo wa Ronaldo ulisababisha akapewa majukumu mengine hata Fergie alikiri kwamba alikuwa anamtumia vibaya!!!!!!
 
Unajua Sir alishasema hamchezeshi kwenye fainali ya Carling Rooney lakini akaona kuna lack of experience,skills and ability na kifaa kipo nje kaingiza mashine na ikafanya kazi iliyotumwa huyo ndio mnyama hatari ROONEY
 
New role ndio imempa hayo mafanikio, nidhamu alikuwa nayo ila uwepo wa Ronaldo ulisababisha akapewa majukumu mengine hata Fergie alikiri kwamba alikuwa anamtumia vibaya!!!!!!
hicho ni sahihi, unajua Rooney anamajukumu ambayo anayo Uwanjani, kama ulitazama vyema jana baada ya kupata bao la pili, Aston Villa walikua wakija mbiombio, sasa Rooney akarudi nyuma, akawa ni kama kiungo mkabaji....alikua anauchukua mpira nyuma kabisa anakimbizana nao kwanguvu sana...., kwa kufanya hivyo akawa nisawa na mkabaji.
 
Tukubali tu ukweli kua kijana ana vitu vingi vinavyohitajika kwa striker mzuri.
 
Tukubali tu ukweli kua kijana ana vitu vingi vinavyohitajika kwa striker mzuri.

Rooney - Nitampa kura yangu baada ya WORLD CUP - Kwa sasa mapema sana - bado namtambua Torres ingawa mi si mpenzi wa Liverpool.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom